Nilishawahi kuandika hapa kumhusu Gerson Msigwa kuwa ni Mtu mwenye Umasikini wa Akili wa Kudumu sikueleweka, ila sasa naamini mmeshanielewa

Nilishawahi kuandika hapa kumhusu Gerson Msigwa kuwa ni Mtu mwenye Umasikini wa Akili wa Kudumu sikueleweka, ila sasa naamini mmeshanielewa

Huyo ni dogo anaendeshwa na dogo
IMG_2447.jpeg
 
Huyu sijui ni nani alimshika mkono na kumpeleka hapo juu. Tokea ripota wa kuungaunga huko songea ghafla tu huyo, akaanza kutoa maboko na bado anaendelea.

Naunga mkono maada hii.
 
Bahati mbaya sana siyo mzee wala siyo kijani....... naona anajisau sana,kwa umri wake na haso alizopitia niliamini atakuwa na x-factor kujitofautisha na kina Wasira
 
..........kaka yake alioa mtoto wa Magu....period ndio alipopatia connection
Huyu sijui ni nani alimshika mkono na kumpeleka hapo juu. Tokea ripota wa kuungaunga huko songea ghafla tu huyo, akaanza kutoa maboko na bado anaendelea.

Naunga mkono maada hii.
 
Back
Top Bottom