Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,593
- 93,303
Igweeeeee,
Kama heading ya thread inavyojieleza naomba kufahamu kwa anayefahamu katiba ya kanisa la KKKT Tanzania ni kina nani ni wajumbe wa mkutano mkuu wa kumchaguwa Askofu mkuu?
Kwa upande wa Kanisa Katoliki nadhani iko wazi hakuna Askofu mkuu wa kanisa katoliki Tanzania, maaskofu wote ni wakuu kwenye majimbo yao na ndio wawakilishi wa Yesu Kristo kwenye majimbo yao na isitoshe maaskofu wote wa kanisa Katoliki duniani wanateuliwa na Vatican (Papas)
Kuna vitu vinaniumiza akili kusikia Askofu Malasusa ameshinda uchaguzi na kuwa Askofu mkuu wa KKKT Tanzania kwa Mara nyingine tena, hapa ndio pananipa shahuku ya kuwajuwa wapiga kura maana idadi ya kura ni kubwa kuliko idadi ya maaskofu na hapa ndio naweza kuteguliwa kitendawili kama kuna mjumbe siyo Askofu halafu anapiga kura ya kuchaguwa Askofu mkuu.
Karibuni katika mjadala maana hili linaweza kuharibu imani za kiroho.
Kama heading ya thread inavyojieleza naomba kufahamu kwa anayefahamu katiba ya kanisa la KKKT Tanzania ni kina nani ni wajumbe wa mkutano mkuu wa kumchaguwa Askofu mkuu?
Kwa upande wa Kanisa Katoliki nadhani iko wazi hakuna Askofu mkuu wa kanisa katoliki Tanzania, maaskofu wote ni wakuu kwenye majimbo yao na ndio wawakilishi wa Yesu Kristo kwenye majimbo yao na isitoshe maaskofu wote wa kanisa Katoliki duniani wanateuliwa na Vatican (Papas)
Kuna vitu vinaniumiza akili kusikia Askofu Malasusa ameshinda uchaguzi na kuwa Askofu mkuu wa KKKT Tanzania kwa Mara nyingine tena, hapa ndio pananipa shahuku ya kuwajuwa wapiga kura maana idadi ya kura ni kubwa kuliko idadi ya maaskofu na hapa ndio naweza kuteguliwa kitendawili kama kuna mjumbe siyo Askofu halafu anapiga kura ya kuchaguwa Askofu mkuu.
Karibuni katika mjadala maana hili linaweza kuharibu imani za kiroho.