comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,227
- 5,950
Post
Ofisi ya Waziri Mkuu
@TZWaziriMkuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Maaskofu Emaus Mwamakulwa wa Kanisa la Uamsho la Morovian (Kushoto) Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Benson Bagonza. Kulia ni Padri Dokta Kitima ambaye ni Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania.