johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Kanisa la KKKT linategemea kuifanyia marekebisho kadhaa Katiba yake ikiwemo Kuanzisha Chombo cha Juu kitakachosimamia Maadili ya Viongozi wakiwemo Maaskofu
Aidha Askofu mkuu wa KKKT hatakuwa Askofu wa Dayosisi na iwapo Askofu wa Dayosisi atagombea akichaguliwa kuwa Askofu mkuu atalazimika kujiuzulu Uaskofu wa Dayosisi
Vikao Vya KKKT vya Juu vinatazamiwa kuanza Kesho 22/08/2023
Source: Mwananchi
Aidha Askofu mkuu wa KKKT hatakuwa Askofu wa Dayosisi na iwapo Askofu wa Dayosisi atagombea akichaguliwa kuwa Askofu mkuu atalazimika kujiuzulu Uaskofu wa Dayosisi
Vikao Vya KKKT vya Juu vinatazamiwa kuanza Kesho 22/08/2023
Source: Mwananchi