LUKAMA
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,081
- 1,271
Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi