Biashara ni kushikana mikono, Nashuhudia kwa macho yangu waliokuwa wanafunga mkia darasani na uwezo wa kawaida kiakili wanapiiga mshindo

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Huku wengine tukijitamba kuweza kufika mpaka vyuoni na kuona tuna bahati kwa kupenya kwenye system kuajiriwa na kupokea mishahara ya milion 1.xx, Najiuliza mara mbili mbili nafanya kitu gani na maisha yangu navyoona kuna watu wa kawaida kabisa kiakili, kielimu, n,k wanagnga mapene ya kutosha,

Niliwahi kusoma kwenye shule hizi za privatr katika vipindi tofauti tofauti na watu watatu ambao shuleni walikuwa na uwezo mdogo sana, kwa enzi hizo za miaka yetu ukiwa mtoro, husomi, huna bidii, n.k. ilikuwa ni unavuna unachokipanda division 0 mviriringo ama ukibahatika division 4, sio kama sikuhizi unakuta mtu hana bidii anapiga division 2.

Basi watu hao walizungusha sifuri, pia uwezo wao kiakili ya maisha ulikuwa ni wa kawaidia tu, moja alikuwa anawaza kula muda mwingi, mwengine alikuwa anaonewa licha ya kuwa na mwili, mwngine angalau alikuwa mjanja mjanja ila kwenye mambo ya uhuni tu.

Hao wote waliacha shule lakini kila moja kwa wakati wake kaweza kutushangaza pindi walipoanza kufanya biashara zao, hawakuwa na haja za kujitafuta ili wajipate kwasababu walikuwa na ndugu / wanafamilia wafanyabiashara.

Katika stori na moja wao aliwahi kuniambia yeye hakuwa anajua chochote kuhusu biashara ila alifunguliwa Tin, Alikodishiwa frem, walienda kufanyiwa makadirio apewe tax clearance, n.k. baada ya hapo ndugu yake akawa anampa mizigo kwa bei ya kujumua kisa yeye anauza kwa bei ya mtaani, faida anabaki nayo, mauzo anarejesha kwa ndugu yake.

Mdogo mdogo akaanza fundishwa kuagiza mzigo, mdogo mdogo akaanza kupewa connections, n.k. kabla ya kufika 30 kijana alikuwa anamiliki land cruizer mkonge aina ya double cabin mpya,

Mwengine nae kabla ya 35 ana duka kubwa tu la hardware lakini naye alianza kwa kushikwa mkono, hivi sasa ana chain stores za kutosha

Huyo Mwengine ni story nyingine kabisa, Trip za Dubai kufunga mzigo zimekuwa kama daladala, kasahpata experience ya kutosha, yupo 38 lakini tayari ana kampuni ya usafirishaji lori kama 40 hivi
 
Huku wengine tukijitamba kuweza kufika mpaka vyuoni na kuona tuna bahati kwa kupenya kwenye system kuajiriwa na kupokea mishahara ya milion 1.xx, Najiuliza mara mbili mbili nafanya kitu gani na maisha yangu navyoona kuna watu wa kawaida kabisa kiakili, kielimu, n,k wanagnga mapene ya kutosha,

Niliwahi kusoma kwenye shule hizi za privatr katika vipindi tofauti tofauti na watu watatu ambao shuleni walikuwa na uwezo mdogo sana, kwa enzi hizo za miaka yetu ukiwa mtoro, husomi, huna bidii, n.k. ilikuwa ni unavuna unachokipanda division 0 mviriringo ama ukibahatika division 4, sio kama sikuhizi unakuta mtu hana bidii anapiga division 2.

Basi watu hao walizungusha sifuri, pia uwezo wao kiakili ya maisha ulikuwa ni wa kawaidia tu, moja alikuwa anawaza kula muda mwingi, mwengine alikuwa anaonewa licha ya kuwa na mwili, mwngine angalau alikuwa mjanja mjanja ila kwenye mambo ya uhuni tu.

Hao wote waliacha shule lakini kila moja kwa wakati wake kaweza kutushangaza pindi walipoanza kufanya biashara zao, hawakuwa na haja za kujitafuta ili wajipate kwasababu walikuwa na ndugu / wanafamilia wafanyabiashara.

Katika stori na moja wao aliwahi kuniambia yeye hakuwa anajua chochote kuhusu biashara ila alifunguliwa Tin, Alikodishiwa frem, walienda kufanyiwa makadirio apewe tax clearance, n.k. baada ya hapo ndugu yake akawa anampa mizigo kwa bei ya kujumua kisa yeye anauza kwa bei ya mtaani, faida anabaki nayo, mauzo anarejesha kwa ndugu yake.

Mdogo mdogo akaanza fundishwa kuagiza mzigo, mdogo mdogo akaanza kupewa connections, n.k. kabla ya kufika 30 kijana alikuwa anamiliki land cruizer mkonge aina ya double cabin mpya,

Mwengine nae kabla ya 35 ana duka kubwa tu la hardware lakini naye alianza kwa kushikwa mkono, hivi sasa ana chain stores za kutosha

Huyo Mwengine ni story nyingine kabisa, Trip za Dubai kufunga mzigo zimekuwa kama daladala, kasahpata experience ya kutosha, yupo 38 lakini tayari ana kampuni ya usafirishaji lori kama 40 hivi
Pole sana msomi...!

Kama una imani kiasi na mambo ya Mungu utatambua kuwa Mungu ndiyo mtoa rizki na kila mja ana rizki yake muda wa kuwa yupo hai. Njia ya kuzipata rizki ni tofauti, wengine mtazipata kwa kusoma sana na kuajiriwa na wengine watazipata kwa kuchakarika na kujiajiri!

Wanasema intelligence zipo aina kadhaa na maarufu ni hizi mbili: IQ na EQ. Ili kufanya vizuri shule na darasani unahitaji high IQ na ili kufanya vizuri mtaani au tuseme where you need plenty of human interaction unahitaji high EQ.

Aghalabu watu hawapewi vipawa vyote viwili, unapewa kimoja na kunyimwa kingine and that's how nature balances things.

Ili upate amani ya moyo, you need to understand and appreciate how things work in nature, it is what it is.

The funny thing though, wasomi msio na hela mnawaonea gere matajiri wasiosoma lakini pia matajiri wasiosoma wanatamani wangekuwa na hizo elimu zenyu...
 
Pole sana msomi...!

Kama una imani kiasi na mambo ya Mungu utatambua kuwa Mungu ndiyo mtoa rizki na kila mja ana rizki yake muda wa kuwa yupo hai. Njia ya kuzipata rizki ni tofauti, wengine mtazipata kwa kusoma sana na kuajiriwa na wengine watazipata kwa kuchakarika na kujiajiri!

Wanasema intelligence zipo aina kadhaa na maarufu ni hizi mbili: IQ na EQ. Ili kufanya vizuri shule na darasani unahitaji high IQ na ili kufanya vizuri mtaani au tuseme where you need plenty of human interaction unahitaji high EQ.

Aghalabu watu hawapewi vipawa vyote viwili, unapewa kimoja na kunyimwa kingine and that's how nature balances things.

Ili upate amani ya moyo, you need to understand and appreciate how things work in nature, it is what it is.

The funny thing though, wasomi msio na hela mnawaonea gere matajiri wasiosoma lakini pia matajiri wasiosoma wanatamani wangekuwa na hizo elimu zenyu...
Msitari wa mwisho umeua..
 
Kama una imani kiasi na mambo ya Mungu utatambua kuwa Mungu ndiyo mtoa rizki na kila mja ana rizki yake muda wa kuwa yupo hai. Njia ya kuzipata rizki ni tofauti, wengine mtazipata kwa kusoma sana na kuajiriwa na wengine watazipata kwa kuchakarika na kujiajiri!
Naweza kubali anaesafisha njia ya ridhki ni Mungu lakini kwenye kutoa ridhki kuna factors nyingi sana kama familia uliyotoka ipo vizuri kiuchumi na ina biashara ya kifamilia ni kwamba wewe hata huhitaji sana kuhangaika kupata ridhki kama yule ambae anaanza from scratch, Mtu anaweza akwa na akili za shuleni lakini hana ada ya kusoma huwezi mlinganisha na ali na uwezo wa ada + connections, n.k.

Wanasema intelligence zipo aina kadhaa na maarufu ni hizi mbili: IQ na EQ. Ili kufanya vizuri shule na darasani unahitaji high IQ na ili kufanya vizuri mtaani au tuseme where you need plenty of human interaction unahitaji high EQ.
Nirudie tena kusema kwamba hao watu walikuwa na uwezo mdogo darasani na akili za kawaida kimaisha mfano kuna moja hapo alikuwa anaonewa na hakuwa na hakuwa mtu wa kijichanganya huwezi sema huyu ana iq ama eq lakini kashikwa mkono kuonyeshwa jinsi game linavyochezwa

The funny thing though, wasomi msio na hela mnawaonea gere matajiri wasiosoma lakini pia matajiri wasiosoma wanatamani wangekuwa na hizo elimu zenyu...
emoji2.png
Kibongo bongo wasomi ndio wanatamani zaidi kuwa nafasi za kushika pesa kuzidi wafanya biashara wasio na elimu wanavyotamani kuwa na elimu, degree holders kibao siku zinaisha hata msosi hawana uhakika nao lakini mfanyabiashara akiwa na pesa akishiba ndio anaanza kupata hayo mawazo
 
Braza Kaka Maisha Yana Siri Sana. Usilolijua Litakusumbua. Wapo watu hapo kkoo hata kuandika kiswahili kwa ufasaha hawawezi ila wana hela mpaka wanatapika.

Shida wasomi wanatafuta hela kwa akili za darasani. Its a whole different game mtaani. Kingine swala kuacha ajira uje mtaani ukae siku mbili huingizi hata 100 ila unajifunza michakato tu ya utafutaji ni kitu ambacho wasomi wengi hawawezi.

Maafisa wa bank wanaona watu wana deposit mahela ya ajabu daily wanashindwa elewa watu hela wana make vp. Issue is mtaani game ni elimu dunia nyingi.

Mtaani somo la kwanza na muhimu kabisa ni ujue kuzungusha hela za watu wengine kwa faida yako (kutumia mitaji ya wengine kwa faida yako. Ni sanaa ambayo wachache sana wanaweza).

Pili biashara sio kuuza na kununua pekee. Hela ya mtaani ina michakato yake. Ukitaka kuamini nachosema wewe observe wapo watu wanakuja na mitaji yao mikubwa wanafungua ma biashara makubwa ila hawatoboi mwaka na hayo hayo mabiashara yanakufa unashangaa ila wenzio wanakimbiza na mitaji yao ya kawaida vile vile hawapotezi line (sumtyms sio kuwa na mtaji mkubwa tu ni akili ya kuchezesha mitaji wa wengine kwa faida yako i.e. Calculated Risk)

Kuwekeza mtaji wako mkubwa na binafsi sio ujanja sana at times hyo hela chances ungewekeza sehem nyingine au ingekua akiba flan ya kufanyia moves flan za tija kwenye biashara zako. Itoshe kusema mambo ni mengi sanaa.

Ongea Na Watu, Uvae Viatu. HeHe
 
Moja ujinga mzito unaokuteseni ni kuhisi kufanya vizri shuleni kama ndio njia ya kuwa na hela.

na unaazaje kumpima mtu uwezo wakati mupo shule? wakati wewe mwenyewe hata kuchanganua vizuri bado huwezi?
 
Naunga mkono hoja,mm mwenyewe nishahangaikaga sana kivyanguvyangu ila nilikuwa naishia ya kula tu na kuvaa,mpaka nilipokuja kushikwa mkono na mzee flani kuanzia kunifundisha biashara mpaka kunikopa mzigo ndio mambo yalipobalika, connection muhimu sana mtaani.
 
Back
Top Bottom