Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 299
- 845
Kwanza kabisa nianze na salamu kwenu wote wana JF asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh, ndugu zangu kaka zangu dada zangu naombeni ushauri wenu, kuna tukio ambalo limekuwa linanisumbua sijui ni uchawi ama kiini macho sijui niseme lipi ndugu zanguni.
Ila hivi sasa miezi zaidi ya 5 nimekuwa nikitokewa na hili tukio kila siku ninapokuwa nikipata chakula kiwe cha mchana ama usiku unakuta nakula vizuri na chakula kinaenda tumboni ila shida iliyonifanya nije niombe ushauri kwenu ndugu zangu wana JF, Kuna mtoto mmoja ambae nakaa kwa makadilio ya umri wake ni miaka 7+ shida yangu huwa kila ninapomaliza kula au nikiwa naendelea kula akitokea huyu akakaa karibu na mimi basi nitashindwa nitashindwa kula na kutapika chakula chote hata kama nikiwa nikiwa nimemaliza kula chakula hicho muda mfupi yani dakika kadhaa zilizopita na chakula kiwe kimeshafika tumboni.
Ila anapotokea huyu mtoto ikitokea kasogea karibu na mimi hata kama hajanigusa hali I abadilika kisha natapika chakula chote hakitabaki hata tonge moja tumboni kwangu, kitu cha kushangaza ni kuwa sio mchafu wala hana uchafu wowote nimekaa nae muda mwingi ila hali kama hii haikuwa ikitokea ila hii hali imeanza kutokea hivi karibu ni miezi sasa kinachoniaminisha kuwa yeye ni Chanzo ni kwamba sijawai kutapika ikiwa yeye hayupo nikiwa nimekaa na watu wengine chakula kinaenda vizuri tu na sijawai kutapika.
Nimefanya utafiti wangu kwa kina zaidi ya miezi 3 nimejirizisha kuwa chanzo ni yeye sasa kila anapokuwa na mimi lazima nitapike cha kushangaza nikiwa nakula nikamaliza alafu yeye hayupo mambo yanaenda vizuri tu ila ikitokea amekuja wakati huo hapo hapo mambo yanabadilika natapikia chakula chote ndugu zangu, Je hili linawezakuwa na maana gani ndugu zanguni niko njia panda.
Ila hivi sasa miezi zaidi ya 5 nimekuwa nikitokewa na hili tukio kila siku ninapokuwa nikipata chakula kiwe cha mchana ama usiku unakuta nakula vizuri na chakula kinaenda tumboni ila shida iliyonifanya nije niombe ushauri kwenu ndugu zangu wana JF, Kuna mtoto mmoja ambae nakaa kwa makadilio ya umri wake ni miaka 7+ shida yangu huwa kila ninapomaliza kula au nikiwa naendelea kula akitokea huyu akakaa karibu na mimi basi nitashindwa nitashindwa kula na kutapika chakula chote hata kama nikiwa nikiwa nimemaliza kula chakula hicho muda mfupi yani dakika kadhaa zilizopita na chakula kiwe kimeshafika tumboni.
Ila anapotokea huyu mtoto ikitokea kasogea karibu na mimi hata kama hajanigusa hali I abadilika kisha natapika chakula chote hakitabaki hata tonge moja tumboni kwangu, kitu cha kushangaza ni kuwa sio mchafu wala hana uchafu wowote nimekaa nae muda mwingi ila hali kama hii haikuwa ikitokea ila hii hali imeanza kutokea hivi karibu ni miezi sasa kinachoniaminisha kuwa yeye ni Chanzo ni kwamba sijawai kutapika ikiwa yeye hayupo nikiwa nimekaa na watu wengine chakula kinaenda vizuri tu na sijawai kutapika.
Nimefanya utafiti wangu kwa kina zaidi ya miezi 3 nimejirizisha kuwa chanzo ni yeye sasa kila anapokuwa na mimi lazima nitapike cha kushangaza nikiwa nakula nikamaliza alafu yeye hayupo mambo yanaenda vizuri tu ila ikitokea amekuja wakati huo hapo hapo mambo yanabadilika natapikia chakula chote ndugu zangu, Je hili linawezakuwa na maana gani ndugu zanguni niko njia panda.