Ni macho yangu au nimekosea! Msaada nifaamishwe hiki ni kitu gani!

Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida

Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi

View attachment 1941871

View attachment 1941872
Mkuu katoe haraka Sana kabla hawajakufkia
 
Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida

Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi

View attachment 1941871

View attachment 1941872
Tumia Google lens
Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida

Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi

View attachment 1941871

View attachment 1941872
Tumia Google lens kupiga picha itakupa jibu
 
Duuh hapo tunasema ni kazi na dawa
Mood ikishuka unajichumia kama mchicha then kinahappen

Mjiabgalie mwenye jicho la nyanya huyo ndo mmiliki wa uoto wa asili
Kitu cha mjani (smoki widi )
 
Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida

Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi

View attachment 1941871

View attachment 1941872
Lakini yule Boss aliyetoa maelekezo kwamba ni maua gani yapandwe na kutunzwa vyema analisemeaje hilo ua? au ni Tunza Likutunze?
 
Back
Top Bottom