toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,802
- 10,173
huyo mkuu wenu anakula ganja....hapo kuna mtu alidondosha vipeke vyake sio buree
Mkuu katoe haraka Sana kabla hawajakufkiaNipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
View attachment 1941871
View attachment 1941872
Tumia Google lensNipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
View attachment 1941871
View attachment 1941872
Tumia Google lens kupiga picha itakupa jibuNipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
View attachment 1941871
View attachment 1941872
Kimeru 'wondering jew'! Hao watakuwa wameru wa Baruchstan.Mkuu hiyo ni aina ya weed kwa jina la kitaalam inaitwa 'black jack' na kwa kimeru 'wondering jew'.
Lakini yule Boss aliyetoa maelekezo kwamba ni maua gani yapandwe na kutunzwa vyema analisemeaje hilo ua? au ni Tunza Likutunze?Nipo nafanya kazi kwenye ofisi fulani hivi za serikali mkoa Kilimanjaro. Ninapokaa hapa unaweza kuona kwa uzuri kabisa maua yaliopo nje, katika kopo moja wapo kuna ua la kawaida na jani lImeota pembeni yake. Kama nilivyoweka picha hapo chini.
Sasa tunabisha wengine wanasema ni weed na wengine wanasema ni jani tu la kawaida
Mwenye uelewa zaidi kwenye vitu kama hivi
View attachment 1941871
View attachment 1941872
"Kama ni bangi itajulikana mbele ya safari" kwa maneno hayo inabidi ww ujiongeze 🙉Yeye amesema kama ni bangi itajulika mbele ya safari