Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,857
- 54,088
Mtumishi wa kweli hawezi kuishabikia CCM.Labda kinafiki ili aishi na Misisiem kwa uzuri.Ndio uje sasa kuwa watumishi wa serikali yenu wanakula mjani, hii kitu ni ganja mzee baba hapo kama ni ofisi ya serikali mjua kuna wala majani hapo , sema kwakua hawana kazi ya kufanya zaidi ya kuhangaika na upinzani na vijimambo kama hivyo angalia vizuri usije kuwa muhanga