chalii wa ara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,035
- 806
Kwa wataalamu hii ni fake ama org?
Anapata likeshalafu yeye atafaidika na nini?
Half fakeKwa wataalamu hii ni fake ama org? View attachment 1982728View attachment 1982730
Ndio maana nikasema zipo fake iphones, review zimejaa mtandaoni....Maana ya fake product ni nini ? Fake phones huwa hazina genuine proprietary operating system. Au ni kipi kigumu kuelewa ? The same applied kwenye Symbian operating system, enzi kuna Nokia N-Series, S-60 etc watu wengi walinunua fake Nokia N-95, N-73,N-90 na ndani ilikuwa haina Symbian operating system wajanja waliishia kuweka OS zao wenyewe custom, the same way Blackberry wakati zipo juu kulikuwa na fake zake zinauzwa. Fake phone does not necessarily mean same genuine operating system, it is imitation of the original product na wengi wanaishia kwenye hardware appearance na software ni appearance ya user interface..challenge imekuja tu kwa upande wa simu za android kwa sababu android is open source and you can create custom ROMs na ukauza simu ambayo ipo very close to the original phone.Sasa iPhone ikishawekwa android inakuwaje iPhone?..
iPhone means iOS.
In short itakuwa ni mtu mshamba sana kama ukiuziwa iPhone hizo mnazoziita fake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo zaidi... kusema hivyo tu haitoshi kuhitimisha hoja yakoHalf fake
Half og
Kuendelea na maelezo ya kitaalamu nitahitaji pesa ya maji, unayo ?Maelezo zaidi... kusema hivyo tu haitoshi kuhitimisha hoja yako
Kama umewahi kwenda znz wakati wa sikukuu unaweza ukakuta tiketi zote za boti zimeisha ila kuna watu nje wanazo ticket wanauza bei kubwa, ni jambo la kawaida.sasa hawa mbona hawana Iphone13 pro max?
ila kina nenga wanazo kibao
Angalia ZoomTanzania ama Jiji wengi wanauza.Tunazipataje hizi?
Niuze mili 3.5 chap
Hii nayo tuiite iPhone fake?Zipo hata ali express zinauzwa i13, i12 ndani ina android iliyowekewa skin ya ios...kuna jamaa aliwahi kununua i12 karibia miezi sita iliyopita na mpaka leo ipo vizuri
kwasababu suppliers wa mtaani walizinunua zote kutoka huko apple store.kiongozi tu link tuhakiki hii habari yako..
na kwa nini hawa apple store wa tz hawana hizi simu? ila zimejaa mtaani
Nimekupata..ila bado naendelea kusema ukiuziwa hizo fake bado utakuwa umezuzuka kabisa labda kama umetoka mpitimbi na kuja mjini kwa mara ya kwanza.Ndio maana nikasema zipo fake iphones, review zimejaa mtandaoni....Maana ya fake product ni nini ? Fake phones huwa hazina genuine proprietary operating system. Au ni kipi kigumu kuelewa ? The same applied kwenye Symbian operating system, enzi kuna Nokia N-Series, S-60 etc watu wengi walinunua fake Nokia N-95, N-73,N-90 na ndani ilikuwa haina Symbian operating system wajanja waliishia kuweka OS zao wenyewe custom, the same way Blackberry wakati zipo juu kulikuwa na fake zake zinauzwa. Fake phone does not necessarily mean same genuine operating system, it is imitation of the original product na wengi wanaishia kwenye hardware appearance na software ni appearance ya user interface..challenge imekuja tu kwa upande wa simu za android kwa sababu android is open source and you can create custom ROMs na ukauza simu ambayo ipo very close to the original phone.
Mtengenezaji yeye hajaziita iPhone..kwanini wewe useme ni iPhone fake..
Mange Kimambi anashindwa kuelewa concept ndogo tu ya biashara, uwepo wa bidhaa sokoni unatokana na demand&supply. Marekani demand ya simu za gharama kama iPhone ni kubwa kuliko Tanzania hivyo Mara nyengine kupelekea uhaba wa bidhaa sokoni. Lakini hali haipo hivyo Tanzania kwani soko la simu za gharama kubwa Tanzania bado ni dogo.halafu yeye atafaidika na nini?
Ni kweli kabisa, authorized store ipo na wengine wananunua nje ya nchi. Hata mimi mara mbili nilinunua nje ya nchi (siyo China) kwa hivyo siyo sawa kusema iphone zote za Tz ni fake.Si kweli kuna Authorized store Tanzania.
Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.
Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.
Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
Kwa wataalamu hii ni fake ama org? View attachment 1982728View attachment 1982730