Hapo SasaHivi kila mwenye iphone original lazima aripoti kwa Mange?
Si kweli kuna Authorized store Tanzania.
Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.
Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.
Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
ndio android, na hutakuta service yoyote ya Apple ndaniUnajuaje? Ndo wanaeka android humo ndani ?[emoji3][emoji3][emoji3]
Yan simu ya juz tayar zipo refurbished?Si kweli kuna Authorized store Tanzania.
Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.
Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.
Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
ndio refurb zinatoka day 1 mkuu, sena si nyingi kama simu ikiwa ya muda mrefu, hasa simu zikiwa na matatizo.Yan simu ya juz tayar zipo refurbished?
Mkuu mi nimeahika hiyo iphone 13 pro max but for my experience samsung S 21 ultra is far better.ndio refurb zinatoka day 1 mkuu, sena si nyingi kama simu ikiwa ya muda mrefu, hasa simu zikiwa na matatizo.
![]()
iphone 13: Search Result | eBay
Buy and sell electronics, cars, fashion apparel, collectibles, sporting goods, digital cameras, baby items, coupons, and everything else on eBay, the world's online marketplacewww.ebay.com
cheki hapo
ila wamejitahidi sana ukaaji charge mwaka huu.Mkuu mi nimeahika hiyo iphone 13 pro max but for my experience samsung S 21 ultra is far better.
Ukiweka resolution kubwa inapotea haraka mno ninazo zote mbili mkuu. Kama hutumii 5G na 120hz itakaa na chaji tofauti na hapo ni maumivuila wamejitahidi sana ukaaji charge mwaka huu.
Huyu Dada ni Kichaa lkn nashangaa Wabongo wengi bado hawajatambua hilo🤣🤣Anaandika mange kimambiView attachment 1982299