Ni kweli hakuna iphone 13 original nchini Tanzania?

Ni kweli hakuna iphone 13 original nchini Tanzania?

mange kachagizwa na wale waliokuwa wanawaponda jamaa wa makumbusho.

as if wanauza simu fake kumbe sio kweli,ni simu OG zilizorekebishwa,na kufungwa upya.
 
IMG_6405.jpg
 
Mange may not be 100% right but she is 90% right. Kuna wauzaji waaminifu ila kuna wapigaji kibao. Hizi iPhone "za Makumbusho" ununue at your own risk.

Nilimpa rafiki yangu iphone yangu ya Makumbusho apeleke apple store US for fixing. Wakamuuliza "is this an iPhone?" Sirudii tena bora nitumie Infinix.

Ogopa sana Iphone inayokuja nchini box peke yake, simu peke yake...
Ni kweli kabisa ziko fake nyingi lakini siyo sawa kusema iphone zote zilizoko nchini ni fake.

Hapo ndipo tafauti ilipo.
 
Si kweli kuna Authorized store Tanzania.

Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.

Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.

Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
Uko sawa. Ukichomeka tu iphone kwenye pc itunes itasoma SN. Pia refurb sio fake.

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa ziko fake nyingi lakini siyo sawa kusema iphone zote zilizoko nchini ni fake.

Hapo ndipo tafauti ilipo.

Hakuna fake ni refurbished na mnauziwa refurbished kwenye box kwasababu mnapenda simu mpya af hela kidogo so inarudiahwa kwenye box unaziwa hivyo hivyo
 
Hakuna fake ni refurbished na mnauziwa refurbished kwenye box kwasababu mnapenda simu mpya af hela kidogo so inarudiahwa kwenye box unaziwa hivyo hivyo
Sema wale wahun wanapiga pesa mazee

Manake kama n refurbished hiyo ina maana wanazipata kwa bei ndogo sana
 
Hakuna fake ni refurbished na mnauziwa refurbished kwenye box kwasababu mnapenda simu mpya af hela kidogo so inarudiahwa kwenye box unaziwa hivyo hivyo
Nina maana ya fake kama fake zile zinazotoka China na zinauzwa kwenye baadhi ya maduka ya simu. Refurbished nazielewa vizuri, ukienda kwenye maduka ya Europe ikiwa unayo iphone ya zamani na unataka kununua mpya ya version ya juu, basi huwa wanaichukuwa na kukufanyia refund ya fedha. La muhimu ni kwamba isiwe imevunjika au ina michubuko yo yote.
 
Huyo Bibi kuna mawili pengne anataka kufanya biashara ya kuuza simu online au kuna Duka la simu anataka kufanya nalo biashara kwamba ukitaka simu og basi nenda Duka Fulani ye ndo ana Ku direct Huko apige hela hakuna kingine anataka huo Uzi wake ni maandalizi Tu ya biashara.
 
Huyu Dada ni Kichaa lkn nashangaa Wabongo wengi bado hawajatambua hilo[emoji1787][emoji1787]
Then watu wanajadili mawazo ya kichaaa? Kuna wakati hata saa mbovu hutoa majira kamili mkuu. La msingi nikuangalia huyi kichaa katoa hoja gani yenye mashiko kwa jamii
 
Mtakuaje na vitu orijino toka nchi zarishaji akati serikali lenu halina ofisi za TBS ,kunavibanda tu vimebandikwa picha za marais wetu na vifaa hakuna vyakukagulia
 
Kuna maduka 3 tu Tanzania ambayo Apple wanayatambua kama Store zao.
-istore Mlimani City
-Elite digital viva towers
-Elite Digital sea cliff.

Pitia website ya Apple hapa kwa ushahidi

Sema jiandae na bei zilizochangamka.
Hiyo website link yako fake, ni ya hao hao wenye maduka, hizo store ulizotaja hata hazipo kwny website ya Apple.
Link ya Apple stores hii hapa
 
Hiyo website link yako fake, ni ya hao hao wenye maduka, hizo store ulizotaja hata hazipo kwny website ya Apple.
Link ya Apple stores hii hapa
Aisee, kwamba unaweza tengeneza subdomain fake kwenye domain ya Apple?
 
Back
Top Bottom