kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,515
- 17,441
Huwa sibishani na Wapuuzi kwenye Mitandao.Website ya Apple ni vijiwen? Unatumia simu yako kuangalia porn tu sio?? Nenda huko kasome Tanzania haipo, ipo kwenye list ya mataifa yanayoangaliwa siku za hukon
Zipo hata ali express zinauzwa i13, i12 ndani ina android iliyowekewa skin ya ios...kuna jamaa aliwahi kununua i12 karibia miezi sita iliyopita na mpaka leo ipo vizuriHakuna iphone fake
Watu design yako n bora wazazi wangepigishana nyeto tu kuliko kuleta hasara dunianiHuwa sibishani na Wapuuzi kwenye Mitandao.
Wewe huna akili...Apple wana maduka wanayoyatambua Bongo na yapo hadi kwenye Website yao alafu unaandika eti Apple hawatambui kama wanauza Simu Bongo! Nadhani akili zako zipo kwenye KinyeoWatu design yako n bora wazazi wangepigishana nyeto tu kuliko kuleta hasara duniani
Ubungo wako umejaa mavi tupu , ndio maana wawaza kinyeo mda woteWewe huna akili...Apple wana maduka wanayoyatambua Bongo na yapo hadi kwenye Website yao alafu unaandika eti Apple hawatambui kama wanauza Simu Bongo! Nadhani akili zako zipo kwenye Kinyeo
hapo ndio umemjibu swali la mleta mada?Hivi kila mwenye iphone original lazima aripoti kwa Mange?
apple stor ekwa Tanzani ipo Mlimani city na Masaki ShopersSi kweli kuna Authorized store Tanzania.
Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.
Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.
Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
sasa hawa mbona hawana Iphone13 pro max?Kuna maduka 3 tu Tanzania ambayo Apple wanayatambua kama Store zao.
-istore Mlimani City
-Elite digital viva towers
-Elite Digital sea cliff.
Pitia website ya Apple hapa kwa ushahidi
Sema jiandae na bei zilizochangamka.
Sasa iPhone ikishawekwa android inakuwaje iPhone?..Zipo hata ali express zinauzwa i13, i12 ndani ina android iliyowekewa skin ya ios...kuna jamaa aliwahi kununua i12 karibia miezi sita iliyopita na mpaka leo ipo vizuri
kiongozi tu link tuhakiki hii habari yako..amefanya poor reasoning kwa sababu anadeal na vichwa vya kuku.
simple tu, mzigo umeisha apple store kwasababu suppliers wa dunia nzima walichukua mzigo wa kutosha.
so supplier wa Africa/Tz aliyenunua stock apple store anaweza kuwa bado ana stock yake while apple store mzigo ulishaisha.
Huyu kazungumzia iPhone 13 mkuu kwa nilivyomuelewa mimiSi kweli kuna Authorized store Tanzania.
Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.
Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.
Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
Nia yake ni kuharibu biashara zetuAnaandika mange kimambiView attachment 1982299
halafu yeye atafaidika na nini?Nia yake ni kuharibu biashara zetu
Rais wenu alikubali vipi kupiga picha na kichaaHuyu Dada ni Kichaa lkn nashangaa Wabongo wengi bado hawajatambua hilo[emoji1787][emoji1787]
apple Mlimani city hawana.. mimi waliniambia nisubiri miezi 9 ndio naweza kuipata.Huyu kazungumzia iPhone 13 mkuu kwa nilivyomuelewa mimi
Ila hata hivyo pale apple store mlimani city sijajua kama zinapatikana au la (iPhone 13)
Refurbished ndo nnayotumia mimi nna iPhone 7 hapa maisha yanaenda hizo iPhone 13 na zenyewe zikiwa refurbished pia ntanunua ila ziuzwe kuanzia 500k lakini
Maana uchumi wangu kwa sasa haujafika huko kwenye kuchukua brand new
5G unatumia ukiwa wapiUkiweka resolution kubwa inapotea haraka mno ninazo zote mbili mkuu. Kama hutumii 5G na 120hz itakaa na chaji tofauti na hapo ni maumivu
Hilo suala la gharama , ni mind game waliyoicheza wamarekani ili waonekane wana vitu vya bei kali kumbe hamna loloteeiPhone fake kugundua ni kitu rahisi sana kwa sababu operating system ya iPhone ipo tofauti kabisa na ya android, kui clone iCloud system/website si jambo rahisi kama baadhi ya watu wanavyofikiria . Mbali na hivyo hamna clone inayoweza tenge ezwa Ika match quality ya camera wala screen za iPhone za miaka ya karibuni kwani ni za gharama sana na quality yake ipo juu mno, hailingani na simu ya bei rahisi.
. hivyo siyo kweli iPhone nyingi Tanzania ni fake. Msiwadharau wa Tanzania kwa kiasi hicho.
Jambo ambalo linawezekana kuwa ni kweli ni kuwa iPhone nyingi Tanzania ni refurbished, na refurbished zinatumika duniani kote hata Apple pia wanauza iPhone refurbished kwenye website yao. Hivyo wala siyo kitu cha ajabu.