Ni kweli hakuna iphone 13 original nchini Tanzania?

Ni kweli hakuna iphone 13 original nchini Tanzania?

iPhone fake kugundua ni kitu rahisi sana kwa sababu operating system ya iPhone ipo tofauti kabisa na ya android, kui clone iCloud system/website si jambo rahisi kama baadhi ya watu wanavyofikiria . Mbali na hivyo hamna clone inayoweza tenge ezwa Ika match quality ya camera wala screen za iPhone za miaka ya karibuni kwani ni za gharama sana na quality yake ipo juu mno, hailingani na simu ya bei rahisi.
. hivyo siyo kweli iPhone nyingi Tanzania ni fake. Msiwadharau wa Tanzania kwa kiasi hicho.
Jambo ambalo linawezekana kuwa ni kweli ni kuwa iPhone nyingi Tanzania ni refurbished, na refurbished zinatumika duniani kote hata Apple pia wanauza iPhone refurbished kwenye website yao. Hivyo wala siyo kitu cha ajabu.
 
Si kweli kuna Authorized store Tanzania.

Na iphone zile za makumbusho ni refurbished nazo pia sio fake.

Hivyo almost iphone zote Tanzania sio fake.

Na hizo chache feki kwa macho tu unazijua kama uzoefu kidogo wa simu.
Authorized store wa iPhone yupo wapi Tanzania?
 
Authorized store wa iPhone yupo wapi Tanzania?
Kuna maduka 3 tu Tanzania ambayo Apple wanayatambua kama Store zao.
-istore Mlimani City
-Elite digital viva towers
-Elite Digital sea cliff.

Pitia website ya Apple hapa kwa ushahidi

Sema jiandae na bei zilizochangamka.
 
Sikuwahi kujua kama Mange ni mjinga kiasi hiki..

Anasema USA stock za iPhone 13 pro zimeisha na zinapatikana kwa shida na anashangaa inakuwaje bongo zipo..anasahau kuwa mtu akileta hata iPhone 13 pc 1000 mpaka zijekuisha kwa hapa bongo ni mziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Apple ujue hawana taarifa kama wamewah uza bidhaa Tanzania? Ni soko wanalo liangalia kwa siku za uson ila kwasasa bado
 
Sikuwahi kujua kama Mange ni mjinga kiasi hiki..

Anasema USA stock za iPhone 13 pro zimeisha na zinapatikana kwa shida na anashangaa inakuwaje bongo zipo..anasahau kuwa mtu akileta hata iPhone 13 pc 1000 mpaka zijekuisha kwa hapa bongo ni mziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asichofahamu Mange Iphone Hazipatikani kwa Retail price na sio kwamba Hazipatikani Kabisa. Ps5 zina uhaba mkubwa kuliko Iphone ila zipo kibao Bongo.

Hivyo kuna watu wamenunua hizo iphone kwa Retail price na sasa hivi wameweka cha juu kikubwa wanaziuza.

Mfano iPhone 13 pro max wanauza hdi 4.2m simu ya Dola 1100 kama sijakosea, hivyo unaona Takriban 1.5m imeongezeka. Same kwa Vanilla iPhone 13 inaenda hadi 2.5m kuna Faida kubwa tu wameweka.
 
Asichofahamu Mange Iphone Hazipatikani kwa Retail price na sio kwamba Hazipatikani Kabisa. Ps5 zina uhaba mkubwa kuliko Iphone ila zipo kibao Bongo.

Hivyo kuna watu wamenunua hizo iphone kwa Retail price na sasa hivi wameweka cha juu kikubwa wanaziuza.

Mfano iPhone 13 pro max wanauza hdi 4.2m simu ya Dola 1100 kama sijakosea, hivyo unaona Takriban 1.5m imeongezeka. Same kwa Vanilla iPhone 13 inaenda hadi 2.5m kuna Faida kubwa tu wameweka.
Tunazipataje hizi?

Niuze mili 3.5 chap
 
Back
Top Bottom