85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii

Kipangaspecial

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
19,408
25,933
85 percent ya Wauza iPhone
Hawawezi kukwambia SIRI hii

Kwanini?

Subiri nikupe Story,

Nina Ndugu yangu

Kila ikitoka iPhone,
New Model, lazima Aidake!
Na anaidaka ikiwa,
Bado haijapoaa!

My Guess Mwisho wa mwezi huu kabla haujaisha lazima anipigie Simu anipe Umbea kwamba
Anayo mkononi!

Na anachukua the latest Model
Yenye Pro Max - 1TB

Sasa Bhana! Kitu anachofanyia hiyo simu ndio Kinachekesha,
Na hapa ndio watu wengi wanafanya,

"Wrong Investment"

oK, Kwanini?

Kuna Sababu kubwa
Kwanini Apple wanatoa

↳iPhone 15 -$799 (128GB)
↳iPhone 15 Plus - $899 (128GB)

Hizi ni kwaajili ya Watu,
Wa kawaida, ambao-
Matumizi yao sio Makubwa...

Kama:
↳Kuchati Na kupiga cha za hapa na pale!
(Na matumizi mengine ya kawaida)

Linapokuja sasa Swala la
(Pro line up);

↳iPhone 15 Pro - $999 (128GB)
↳iPhone 15 Pro Max - $1199 (256GB)

Hapa tunahama kabisa,
Kwenye Matumizi ya,
Kawaida na ndio maana Kuna neno (PRO)

Pro means- For Proffesionals!

Na ndio maana umeona
Kwenye Uzinduzi wame-
Taja watu wa aina Mbili...

  • Photographers
  • Videographer/Film Maker!

Sasa wewe na kiranga chako,
ili mradi watu wakuone,
Una iPhone Kubwa...

Unaenda Ku-invest More,
Than 4M kwenye Kitu,
Ambacho hukitumii to the Max,

By the way: Kila nikimkuta,
Ndugu yangu yeye ni,

  • Snapchat
  • Candy Crash Saga...
  • Mange Kimambi,
Akisoma Umbea!

Ona sasa 🥲

Anyway: Okoa Pesa zako,
Acha kwenda kwa Trend...

Alafu pia, Dada yangu!

Hizi ni simu hazina Mwisho,
Linda Utu wako! Kuliko Vyote
Ulindavyo!

Yangu ni hayo tu!

AM OUT!
 
-Photographers
-Videographer/Film Maker!
sio kweli, ingekua apple wanawalenga photographers na filmmakers basi wangeuza camera,

na kama mtu anaweza kumudu bei, basi hamna shida.... ndo maana kuna smartphone aina tatu;
1. budget phones- hizi za bei rahisi sana, uwezo mdogo
2. mid range phones-hizi bei ya kati, zina uwezo mkubwa kiasi
3. flagship phones-hizi bei ghali, uwezo mkubwa

hata tecno wana flagships, angalia tecno phantom x inauzwa 1M+,

tatizo ni watu kulazimisha kununua kitu ambacho bei hawaimudu
 
sio kweli, ingekua apple wanawalenga photographers na filmmakers basi wangeuza camera,

na kama mtu anaweza kumudu bei, basi hamna shida.... ndo maana kuna smartphone aina tatu;
1. budget phones- hizi za bei rahisi sana, uwezo mdogo
2. mid range phones-hizi bei ya kati, zina uwezo mkubwa kiasi
3. flagship phones-hizi bei ghali, uwezo mkubwa

hata tecno wana flagships, angalia tecno phantom x inauzwa 1M+,

tatizo ni watu kulazimisha kununua kitu ambacho bei hawaimudu
Tatizo hapo kwa Tecno hata kama una Phantom x watu bado wanaleta dharau...hahahaa
 
sio kweli, ingekua apple wanawalenga photographers na filmmakers basi wangeuza camera,

na kama mtu anaweza kumudu bei, basi hamna shida.... ndo maana kuna smartphone aina tatu;
1. budget phones- hizi za bei rahisi sana, uwezo mdogo
2. mid range phones-hizi bei ya kati, zina uwezo mkubwa kiasi
3. flagship phones-hizi bei ghali, uwezo mkubwa

hata tecno wana flagships, angalia tecno phantom x inauzwa 1M+,

tatizo ni watu kulazimisha kununua kitu ambacho bei hawaimudu
Tecno nayo ni simu!?
 
Back
Top Bottom