binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,457
- 42,147
Ndio tabia yake hiyo, wasiojua akili za mange atawapa shida sana. Zamani enzi za uturn alikuwa anaandika kuhusu fashion pia, Ikawa bongo kukiwa na even anawasubiri maceleb walivyovaa anawaponda balaa, Mange ndiye aliyevumisha msemo wa "kuvaa ronya" Anawaambia maceleb wa bongo mnavaa ronya, halafu hapo hapo akaingiza wazo la kuwauzia nguo za kicelebrity za marekani (as if wanaweza kuafford basi)Bongo zikija hata iPhone 13 Mia tano zitaonekana nyingi maana hamna wanunuzi.
ila huyo dada hamjamsoma Tu yeye anataka mmtumie Hela awatumie iPhone
Ikawa celeb akienda event na amevaa nguo iliyotoka kwa mange, anamuandika na kumsifia balaa, Na sababu ya low self esteem aliwapata wengi sana hadi walipogundua naye anawapiga, ananunua nguo huko za dola 10 anawauzia laki 2 kwa gharama ya kusifiwa kwenye blog.
Mange janja janja mno.