Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

Hata wewe mkuu unafunga kila siku labda tu hujui, usiku unapolala masaa yote unakuwa hauli wala kunywa mpaka unapoamka asubuhi na ndio maana chakula cha asubuhi kikaitwa breakfast.
Nimekuelewa vyema Mkuu
 
Kimsingi ni kubadili mda wa kula
Msingi ni kujizuia kula na kunywa kwa muda maalum hiyo ndio kufunga, ambapo tofauti yake ni kwamba mtu angeweza kula muda wotewote ule. Muhimu ni kwamba katika hayo masaa uliyojizuia kula na kunywa kuna faida kiafya sema shida kuna watu mpaka leo wao wanadhani fasting ni kwa watu wa dini tu kwamba kujizuia kula ni issue za kiimani basi ila hajui kwamba kuna faida za funga kiafya na kuna aina tofauti za funga.
 
Msingi ni kujizuia kula na kunywa kwa muda maalum hiyo ndio kufunga, ambapo tofauti yake ni kwamba mtu angeweza kula muda wotewote ule. Muhimu ni kwamba katika hayo masaa uliyojizuia kula na kunywa kuna faida kiafya sema shida kuna watu mpaka leo wao wanadhani fasting ni kwa watu wa dini tu kwamba kujizuia kula ni issue za kiimani basi ila hajui kwamba kuna faida za funga kiafya na kuna aina tofauti za funga.
Tofauti yako na mimi ni kuwa unakula usiku mimi ninakula mchana.
 
Kama. ni rahisi kufunga,, ujaribu na wewe kama hukuishia saa nane mchana.

Usidhani ni rahisi kukaa na njaa na pesa ya kula unayo.
 
Hiyo siyo funga, ni ulaghai fulani hivi wa kubadilisha muda wa kula. Funga gani hiyo hata masaa 24 hayatimii kuhesabu siku nzima moja? Wale masheikh kwenye zile media wawe wanapitia humu kupata darsa, waache kuzuga watu kwa habari za kuacha kula mchana
Kuna aina tofauti za fasting kuanzia utofauti wa muda hadi na aina ya fasting yenyewe kwa maana kuna hadi fasting ya kujizuia kutumia maji kabisa mwilini hunawi hata mikono, hiyo inaitwa dry fasting ila pia zipo funga za kutokula kwa masaa 24 ila huwa inafanywa mara moja au mbili tu kwa wiki.

Sasa mkuu hiyo funga ya masaa 24 kwa mwezi mzima au? Si itakuwa mauwaji hayo.
 
Hicho chakula kinadumu masaa mangapi kiasi cha kutoweza kuhisi njaa?

Mm n mkristo na mara nyingi nikila usiku saa 2 au tatu nakaa mpaka saa 8 au 9 mchana ndio nakula, mara nyingi sili chcht asubuhi, hapo n zaidi ya masaa 12.

Na hiko chakula cha usiku n cha kawaida tuu.

Ila nyie makobaz ile alfajiri mnakula kama kukomoa inabidi mlale hapo hapo mana Huwez hata kuinuka, h nmeishuhudia kwa macho yangu mwnyw.
 
Tatizo hapa ni dhiki ya chakula inawasumbua sana wagalatia
Huwa mnaumia sana na vyakula tunavyokula wakati wa Ramadhan al Kareem
Mnajua kabisa msosi kama huu unaweza usipate nafasi ya kula mpaka siku unakufa
Tanzania nzima hakuna vijiji vya waislamu hakuna wana watoto wenye utapiamlo, tumejaaliwa na uwingi wa vyakula

Haya karibuni iftar,

1771447374394.png
 
Mm n mkristo na mara nyingi nikila usiku saa 2 au tatu nakaa mpaka saa 8 au 9 mchana ndio nakula, mara nyingi sili chcht asubuhi, hapo n zaidi ya masaa 12.

Na hiko chakula cha usiku n cha kawaida tuu.

Ila nyie makobaz ile alfajiri mnakula kama kukomoa inabidi mlale hapo hapo mana Huwez hata kuinuka, h nmeishuhudia kwa macho yangu mwnyw.
Sasa hapo unajizungumzia wewe binafsi au vp sijaelewa? Maana hata huko kula alfajiri sio wote wanaokula muda huo, kuna watu wakila ile jioni hawali tena hadi kesho jioni.
 
Sasa hapo unajizungumzia wewe binafsi au vp sijaelewa? Maana hata huko kula alfajiri sio wote wanaokula muda huo, kuna watu wakila ile jioni hawali tena hadi kesho jioni.
Kwan hao unaowasemea wao n wao binafsi au group la watu?
 
wengine futari vinaporomoshwa vitu kama sikukuu yaani gharama inayotumika bonge la bajeti kuliko ata siku za kawaida aswa waarabu vinapikwa vyakula vya kila aina na sa nyingine vya jamii moja sambusa,chapati,maandazi,bagia ,nk yaani ni fujo tu nahisi hadi vingine uwa vinamwagwa,wakati tunategemea kipindi cha mfungo pia na matumizi yapungue ila ndo yanaongezeka ,
Huyo mleta mada anajua kabisa vyakula vinaliwa hapo hata yeye pasaka hana uwezo wa kula hivyo kwa hiyo bajeti ya siku moja ya Ramadhani
Kwanini isimuume mpaka kufikia kutengeneza mada kabisa kujipa moyo
 
Back
Top Bottom