Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

Hakuna hata mmoja anayejua Uislam, nyie mnawaangalia baadhi ya waislam wanachokifanya ni sawa na Sheria ya Kodi Kuna njia ya kuikwepa kihalali hivyo waislam baadhi wanaikwepa kihalali ukizingatia Mwenyezi Mungu wa waislam hawatakii taabu kitendo TU Cha kunuia kufunga tayari umeshashinda mbele na atakuridhia haijalishi, zamani masahaba walikua wanajipa tabu hadi kuacha kuingilia wake zao lakini wakaambiwa msihofu fanyeni usiku hivyo hii sio adhabu ni kumkumbuka Mungu ndio lengo.

Halafu funga ya mwislam au Hata maisha ya kawaida kula hadi kuvimbiwa according to Islam ni dhambi, Hata kutupwa chakula, mtume kaagiza ni sunna kunywa maji au kula tende kila kiasi usiku kabla ya kufunga (elewa sunna) hivyo mtu kila usiku haibatilishi funga ili mradi asivimbiwe akabeua, can you imagine mtu aliyesahau Kama kufunga akala akashiba Bado funga yake IPO pale pale? Enyi wagalatia kufunga sio mateso ni ishara ya Imani, msjiumize kwenda milimani kukaa siku 3 bila kula unashinda umelala eti ndio funga katka Uislam ukifa njaa Kwa makusudi hio ni motoni na hurusiwi kufunga Kama unaumwa malipo yake ni kulisha maskini 60
Mimi dini ikihubiri motoni tu huwa naona magumashi tu.
 
Tena Quran 2:185 inakazia ukiwa kijijini unaweza usifunge, mean ukiwa shamba hii inaonyesha msosi ni muhimu kuliko mnavyofikiri, pia Hata pigi Bora ule kuliko kufa njaa
 

Attachments

  • Screenshot_20260218-143722.png
    Screenshot_20260218-143722.png
    75.4 KB · Views: 3
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Kimsingi ni kubadili mda wa kula
 
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Karibu Mbagala ZAKHIEM tarehe 20 siku ya ijumaa nafuturisha pale dar live.

NB. Funga kwa watu wengine ni kubadili ratiba ya kula..badala ya kula mchana watu Wana amua kula usiku..
 
iitwe tu Mwezi wa kula kuanzia jioni hadi alfajiri tu:
Katika masaa 24 tunakula sawa tu tena mnatuzidi kwa wingi wa madikodiko
 
Hebu achen kudhihaki Imani za watu msitafute attention kupitia dini za watu

Sasa inakusaidia nin wafunge wale kushiba wewe inakukwaza Nini?

Unapata faida gan kukebeh Imani za watu watu wapo ramadhan na Kwa resma hebu jaribu kuheshimu
 
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
wengine futari vinaporomoshwa vitu kama sikukuu yaani gharama inayotumika bonge la bajeti kuliko ata siku za kawaida aswa waarabu vinapikwa vyakula vya kila aina na sa nyingine vya jamii moja sambusa,chapati,maandazi,bagia ,nk yaani ni fujo tu nahisi hadi vingine uwa vinamwagwa,wakati tunategemea kipindi cha mfungo pia na matumizi yapungue ila ndo yanaongezeka ,
 
Back
Top Bottom