Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Hii ilikua zamani sio siku hizi siku hizi kila kitu ni fashion, wale kizazi kile cha miaka ile ndio walikua wanayaishi hayo unayoyasema na nahisi sababu kipindi kile chakula hakikua jambo la anasa au jambo la kuwaza sana ila sasa chakula ni km anasa zingine
 
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Wengi wanashinda njaa surely
 
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Swadakta
 
Hakuna hata mmoja anayejua Uislam, nyie mnawaangalia baadhi ya waislam wanachokifanya ni sawa na Sheria ya Kodi Kuna njia ya kuikwepa kihalali hivyo waislam baadhi wanaikwepa kihalali ukizingatia Mwenyezi Mungu wa waislam hawatakii taabu kitendo TU Cha kunuia kufunga tayari umeshashinda mbele na atakuridhia haijalishi, zamani masahaba walikua wanajipa tabu hadi kuacha kuingilia wake zao lakini wakaambiwa msihofu fanyeni usiku hivyo hii sio adhabu ni kumkumbuka Mungu ndio lengo.

Halafu funga ya mwislam au Hata maisha ya kawaida kula hadi kuvimbiwa according to Islam ni dhambi, Hata kutupwa chakula, mtume kaagiza ni sunna kunywa maji au kula tende kila kiasi usiku kabla ya kufunga (elewa sunna) hivyo mtu kila usiku haibatilishi funga ili mradi asivimbiwe akabeua, can you imagine mtu aliyesahau Kama kufunga akala akashiba Bado funga yake IPO pale pale? Enyi wagalatia kufunga sio mateso ni ishara ya Imani, msjiumize kwenda milimani kukaa siku 3 bila kula unashinda umelala eti ndio funga katka Uislam ukifa njaa Kwa makusudi hio ni motoni na hurusiwi kufunga Kama unaumwa malipo yake ni kulisha maskini 60
KObaz umeandika nini hapa?
 
Nafunga kwa kujizui kula tena kuanzia muda huo niliyomaliza kula hayo makande hadi muda maalumu niliyokusudia, halafu sijajua mkuu wewe unalenga nini? Unalenga upande wa afya au ile tabu ya kuhisi njaa?
Unafunga ungali umeshiba
Unashiba vya kutosha then ndo uanze kufunga
 
Ni kubadili muda wa kula
Kubadili muda wa kula ndio kufunga!
kwa wenzetu wa ulimwengu wa kwanza, hata ukiamka asubuhi wanahesabu ulifunga kwa kuwa muda wa kula ulikuwa mrefu na ndio sababu kifungua kinjwa wanaita "Break fast"
sisi huku Afrika, ndio tuko bize kujadili maisha ya watu......badala ya kusaidiana mambo ya maendeleo
 
Unafunga ungali umeshiba
Unashiba vya kutosha then ndo uanze kufunga
Tatizo ww hujaanzisha mada ili kujifunza bali umeanzisha mada kwa ajili ya kufanya dhihaka dhidi ya waislam ili kufurahisha moyo wako kitu ambacho kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya.
Alafu mtu kama ww waweza kuta una ndugu,majirani na marafiki waislam na wanaishi vizuri na ww kwa upendo kumbe ww unaishi nao kinafiki na umejaa chuki dhidi yao na unakuja kuzishusha humu kwa ID bandia.

Kwanza ngoja nikuelimishe kidogo tafsiri ya funga ndani ya uislamu sio kuhisi njaa au kujitesa na njaa bali ni kujizuia kufanya baadhi ya vitu ambavyo ni halali kama kula, kunywa na kufanya tendo la ndoa na mkeo kwa muda fulani tu ndani ya siku baada ya muda huo kuisha unaruhusiwa kula ,kunywa na kukutana na mkeo mapaka muda wa kuanza kujizuia tena.
Alafu hata kama tungeenda na hiyo tafsiri yako unayo itaka mwisho wa kula daku ni saa kumi na nusu alfajiri hutakiwi kula chochote mpaka saa moja jioni ukiangalia pengo lililopo hapo ni zaidi ya masaa 15 bila kula wala kunywa chochote sasa tuache unafiki chakula kinaweza kudumu tumboni kwa masaa 15?
 
Lol.

Mfungo wa kweli.

Isaya 58:1-14 BHN:
[3] “Nyinyi mnaniuliza: ‘Mbona tunafunga lakini wewe huoni? Mbona tunajinyenyekesha, lakini wewe hujali?’ “Ukweli ni kwamba wakati mnapofunga, mnatafuta tu furaha yenu wenyewe, na kuwakandamiza wafanyakazi wenu!

[4] Mnafunga, na kugombana na kupigana ngumi. Mkifunga namna hiyo maombi yenu hayatafika kwangu juu.

[5] Mfungapo, nyinyi mnajitaabisha; mnaviinamisha vichwa vyenu kama unyasi, na kulalia nguo za magunia na majivu. Je, huo ndio mnaouita mfungo? Je, hiyo ni siku inayokubaliwa nami?

[6] “La! Mfungo ninaotaka mimi ni huu: Kuwafungulia waliofungwa bila haki, kuziondoa kamba za utumwa, kuwaachia huru wanaokandamizwa, na kuvunjilia mbali udhalimu wote!

[7] Mfungo wa kweli ni kuwagawia wenye njaa chakula chako, kuwakaribisha nyumbani kwako maskini wasio na makao, kuwavalisha wasio na nguo, bila kusahau kuwasaidia jamaa zenu.

[8] “Mkifanya hivyo mtangara kama pambazuko, mkiwa wagonjwa mtapona haraka. Matendo yenu mema yatawatangulia, nami nitawalindeni kutoka nyuma kwa utukufu wangu.

[9] Ndipo mtakapoomba, nami Mwenyezi-Mungu nitawaitikia; mtalia kwa sauti kuomba msaada, nami nitajibu, ‘Niko hapa!’ “Kama mkiiondoa dhuluma kati yenu, mkiacha kudharau wengine na kusema maovu,

[10] mkiwapa chakula kwa ukarimu wenye njaa, mkitosheleza mahitaji ya wenye dhiki, mwanga utawaangazia nyakati za giza, giza lenu litakuwa kama mchana.

[11] Mimi Mwenyezi-Mungu nitawaongozeni daima, nitatosheleza mahitaji yenu wakati wa shida. Nitawaimarisha mwilini, nanyi mtakuwa kama bustani iliyomwagiliwa maji, kama chemchemi ya maji ambayo maji yake hayakauki kamwe.
 
Unafunga ungali umeshiba
Unashiba vya kutosha then ndo uanze kufunga
Huko kushiba vya kutosha hakufanyi kutohisi njaa kwa siku nzima, ndio maana watu huwa tunakula asubuhi tunashiba ila ikifika mchana tunakula tena na jioni tunakula tena.
 
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Kikubwa ni kufanya matendo ya huruma tuu
 
Tatizo ww hujaanzisha mada ili kujifunza bali umeanzisha mada kwa ajili ya kufanya dhihaka dhidi ya waislam ili kufurahisha moyo wako kitu ambacho kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya.
Alafu mtu kama ww waweza kuta una ndugu,majirani na marafiki waislam na wanaishi vizuri na ww kwa upendo kumbe ww unaishi nao kinafiki na umejaa chuki dhidi yao na unakuja kuzishusha humu kwa ID bandia.

Kwanza ngoja nikuelimishe kidogo tafsiri ya funga ndani ya uislamu sio kuhisi njaa au kujitesa na njaa bali ni kujizuia kufanya baadhi ya vitu ambavyo ni halali kama kula, kunywa na kufanya tendo la ndoa na mkeo kwa muda fulani tu ndani ya siku baada ya muda huo kuisha unaruhusiwa kula ,kunywa na kukutana na mkeo mapaka muda wa kuanza kujizuia tena.
Alafu hata kama tungeenda na hiyo tafsiri yako unayo itaka mwisho wa kula daku ni saa kumi na nusu alfajiri hutakiwi kula chochote mpaka saa moja jioni ukiangalia pengo lililopo hapo ni zaidi ya masaa 15 bila kula wala kunywa chochote sasa tuache unafiki chakula kinaweza kudumu tumboni kwa masaa 15?
Kobazi ni waigizaji tu
 
Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba

Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.

Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku

Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi

Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini

Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅

Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Una mengi unahitaj kuyajua kuhusu swaumu.
 
Sasa kama kufunga Bado unakula unashiba, sigara unavuta, zinaa unafanya, unauwa watu Kwa kujitoa mhanga
Sasa hiyo funga ina tofauti Gani na pagan
Huyo anaefanya hivo ni kweli hana tofaut na mpagani.

Kwasbb hakuna maelekezo hayo juu ya kufunga ktk uislam
 
Back
Top Bottom