Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 4,183
- 5,610
Bora paganSasa kama kufunga Bado unakula unashiba, sigara unavuta, zinaa unafanya, unauwa watu Kwa kujitoa mhanga
Sasa hiyo funga ina tofauti Gani na pagan
Bora paganSasa kama kufunga Bado unakula unashiba, sigara unavuta, zinaa unafanya, unauwa watu Kwa kujitoa mhanga
Sasa hiyo funga ina tofauti Gani na pagan
Acheni kuiga iga. Mnang'ang'ania hadi manabii wetu. Nyie manabii wenu ni maswahaba kina Bilal yule mtu mweusi wa kwanza kuwa muislam na muislam wa kwanza kuwa na sijdah.Hata kama uliyo yaandika yote ni kweli kuna tatizo gani juu ya hilo au ww unapungukiwa nini kwenye maisha yako ya kila siku?
Hatutaki unafiki na kuigwaigwa. Dini yao ingekomaa kivyake vyake bila kutuiga ingekuwa na mantiki.Hebu achen kudhihaki Imani za watu msitafute attention kupitia dini za watu
Sasa inakusaidia nin wafunge wale kushiba wewe inakukwaza Nini?
Unapata faida gan kukebeh Imani za watu watu wapo ramadhan na Kwa resma hebu jaribu kuheshimu
Better go to hell than Muslim's paradise. Because hell is much cooler.Motoni lazima uende uone magumashi usione, ni Kama wewe una kijana wako umpe tahadhari ukiruka ukuta Kuna umeme kwa nyaya siku haupo katesti kuruka kafa wewe utakua miyeyusho? Au mtoto
And the hell is waitingBetter to go to hell than Muslim's paradise. Because hell is much cooler.
Dogo ukafiri utakuponza.Better to go to hell than Muslim's paradise. Because hell is much cooler.
Yes al be there can't wait maamae!And the hell is waiting
Kiranga njoo utusaidie kujibu hapa logically .Mimi binafsi sioni kama mtu aliyekula saa 11 alfajiri atakuwa na haja ya kupata break fast saa 2 asubuhi au kula mchana, maana anakuwa anashiba
Mtu anasubiri jua lizame ale kama machwa au nguruwe pori, anakula hadi anavimbiwa na Bado anaamka usiku wa manane kula tena.
Tuache unafiki hakuna kufunga Kwa hivo kuwa usiku uwe mchana na mchana uwe usiku
Jitu limefunga linangoja king'ora jioni livute sigara au bangi
Jitu limefunga linangoja jua lizame likazini
Jioni mnaandaà ndizi, mihogo, uji, tambi
Yaani ni jitu linakula kama ndo mwisho wa Dunia😅
Kufunga iwe zaidi toba na sadaka na kujizuia Ile riziki ya kula mchana kuwapa masikini, sio kutunza chakula cha mchana ili ule usiku
Alibafili ya mbayanaAsomewe al badiri!
As if....m