EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Baada ya wananchi kupigia kelele mabadiliko ya mfuko wa bima ya afya, hatimaye NHIF wamesitisha mabadiliko hayo.
Hii ndio nguvu ya mitandao ya kijamii
==============
Pamoja na hivyo kumetolewa taarifa mbili ambazo ni wazi zina onesha wahusika hawakujipanga, taarifa ya kwanza imetolewa na NHIF wenyewe wakionesha kuwa walikuwa na utaratibu mpya, lakini baadaye wameona umeleta utata wameufuta.
Dakika 20 baadaye taarifa ikatolewa na Wizara ya Afya kuwa wamesitisha utaratibu huo mpya, ikumbukwe kuwa awali hakuna taasisi yoyote kati ya hizo mbili iliyojitokeza kuzungumzia kuhusu utaratibu mpya.
Inamaanisha kuwa baada ya presha kuwa
Hii ndio nguvu ya mitandao ya kijamii
==============
Pamoja na hivyo kumetolewa taarifa mbili ambazo ni wazi zina onesha wahusika hawakujipanga, taarifa ya kwanza imetolewa na NHIF wenyewe wakionesha kuwa walikuwa na utaratibu mpya, lakini baadaye wameona umeleta utata wameufuta.
Dakika 20 baadaye taarifa ikatolewa na Wizara ya Afya kuwa wamesitisha utaratibu huo mpya, ikumbukwe kuwa awali hakuna taasisi yoyote kati ya hizo mbili iliyojitokeza kuzungumzia kuhusu utaratibu mpya.
Inamaanisha kuwa baada ya presha kuwa