KAKA YAKO NAPITA
JF-Expert Member
- May 16, 2014
- 1,322
- 232
Mambo ya Kamlete haya leo nimeambiwa nichague kati ya National Auditing Office, TRA, NSSF, na BIMA
Please naombeni ushauri na Salary figures kwa kima cha chini.
Karibu!
Mbna amesahau kukwambia Ofisi za bunge na Ikulu,TPA,Primefuel na BP