Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,268
- 123,012
Ambayo ni 1M kabla ya makatoPRSS 1 analingana na TGS E
Ambayo ni 1M kabla ya makatoPRSS 1 analingana na TGS E
Scale zake ni zipi?Mwenye kujua mishahara ya REA kwa ngazi ya diploma atufahamishe plz
Scale za TPCSS1Scale zake ni zipi?
Kwan loan board wanakata asilimia ngap mazeeee.......naaanza kuhisi kisangaTGS D 765 000 loan board na makato yote inabaki 400k + uko mji kama dodoma bila kusahau una watoto na mke, kuna kutoboa hapo Mwaisa
Kwa mantiki hii ni dhahiri kuwa Degree holder wa Halmashauri anazidiwa mshahara na Diploma holder wa kwenye Taasisi za kiserikali.. Maana taasisi za kiserikali bila shaka diploma iko 800+TGS D 765 000 loan board na makato yote inabaki 400k + uko mji kama dodoma bila kusahau una watoto na mke, kuna kutoboa hapo Mwaisa
Kwenye TGS DKwan loan board wanakata asilimia ngap mazeeee.......naaanza kuhisi kisanga
100%Kwa mantiki hii ni dhahiri kuwa Degree holder wa Halmashauri anazidiwa mshahara na Diploma holder wa kwenye Taasisi za kiserikali.. Maana taasisi za kiserikali bila shaka diploma iko 800+
Yaah ni kweli kwenye hii Wakala dip wanalamba 1.1MKwa mantiki hii ni dhahiri kuwa Degree holder wa Halmashauri anazidiwa mshahara na Diploma holder wa kwenye Taasisi za kiserikali.. Maana taasisi za kiserikali bila shaka diploma iko 800+
Hapa safi.. full kujilamba Hadi pesa zimwagike😂Yaah ni kweli kwenye hii Wakala dip wanalamba 1.1M
🤣🤣🤣Hapa safi.. full kujilamba Hadi pesa zimwagike😂
Mkuu naona Sasa ni mwezi wa Tatu huu unachomoa pesa zako tu ATM au sio
Mtumishi yeyote wa umma wa permanent and pensionable halipwiMkuu naona Sasa ni mwezi wa Tatu huu unachomoa pesa zako tu ATM au sio
😃😃😃 Haya bhana hebu nasi tusibirie check namba piaMtumishi yeyote wa umma wa permanent and pensionable halipwi
Hela bila kupata check number so zilichelewa kutoka so Nina Hela ya mwezi Mmoja tu ndo nimepata na imeisha Juzi nimelipa madeni hapa Sina kitu 🤣🤣🤣🤣🤣
Inategemeana kama una marupu rupu au la.TGS D 765 000 loan board na makato yote inabaki 400k + uko mji kama dodoma bila kusahau una watoto na mke, kuna kutoboa hapo Mwaisa
Diploma anaanza na PGSS 4.1Wakuu PGSS 6 kwa mwenye diploma ni sh ngapi
Ambao ndo sh ngap basic?Diploma anaanza na PGSS 4.1