Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
Mabadiliko ya mwez wa 7 ni kama ifuatavyo:
Basic salary 532000/= so after makato ni kama 430000/=.
Toa 37,800 makato ya HESLB
Mabadiliko ya mwez wa 7 ni kama ifuatavyo:
Basic salary 532000/= so after makato ni kama 430000/=.
Mabadiliko ya mwez wa 7 ni kama ifuatavyo:
Basic salary 532000/= so after makato ni kama 430000/=.
Mwalimu mwenye degree mshahara ni sh. 532,290/= baada ya makato yote anapata 383,330/=
kama hauna makato ya heslb inakuaje coz wengine hatujapewa mkopo na ndio twamaliza
TGTS D1 ambayo kabla ya makato ni sh 450,000.00
makato yake kuna PSPF
Bima ya Afya
Chama cha walimu
Tax Pay as you Earn
mengine yatakuja ya mikopo kama utakopa
nadhani take home inaweza kua 320,000.00
kama hauna makato ya heslb inakuaje coz wengine hatujapewa mkopo na ndio twamaliza
Inakuwa 422,290/=
safi kumbeee heri sijakopwa na bodi asee
tatizo si hela nyingi kupewa tatizo ni planningMkuu mwenye cheti nursing analipwa LAKI 6.
mshahara n sawa lkn jiulize ulishackia mhacbu amegoma?
hivi ni lazima kuwa mwana chama wa cwt?
Nani ambaye hana umuhimu kutokana na kile alichosomea au kazi anayofanya.kutokana na umuhimu wa walimu... huu mshahara ni mdogo mnoooooooooo!!
Nani ambaye hana umuhimu kutokana na kile alichosomea au kazi anayofanya.
Nani ambaye hana umuhimu kutokana na kile alichosomea au kazi anayofanya.
hivi ni lazima kuwa mwana chama wa cwt?
hizi ni scale za zamani, za mwaka huu ni kama ifuatavyo.
TGTS/D/1- BASIC NI 532,000
wakikata PSPF -26600
CWT 10,640
income tax 57,808
bima ya afya 15960
RCUR 32.95
RPRV 58.95
PIGA MWENYEWE TAKE HOME NI 421,018