GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
kila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.
sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.
sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.