kila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.

sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.
 
kila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.

sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.


Hebu nipe na salary scale 4.1 inayotumiwa na hawa jamaa wa TANROAD/
 
kila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.

sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.

Thanx mkuu,actually u talk everythng i want. Thanx once more.
 
Hebu nipe na salary scale 4.1 inayotumiwa na hawa jamaa wa TANROAD/

Bakuza hembu mgongee like mshkaji atakuja kukusaidia....hivi vingine ni shukrani tu mkubwa!! etlist hata aone notification kwani wengi wetu tukishajibu post huwa haturudi tena kuangalia. Do that plzz
 
kila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.

sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.

Yaani wewe uko deep sana kwenye salary scale za serikali, vizuri sana kwa kutupa mwongozo. Hebu nijuze na mimi PGSS 10 ni range ya sh ngapi?
 
kila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.

sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.

Pia kuna PUSS na POSS
 
Bakuza hembu mgongee like mshkaji atakuja kukusaidia....hivi vingine ni shukrani tu mkubwa!! etlist hata aone notification kwani wengi wetu tukishajibu post huwa haturudi tena kuangalia. Do that plzz


"Ridhiki haivutwi kwa kamba!!", walisema wahenga. Na asiyeweza kushukuru kwa kidogo hata ukimpa kikubwa hawezi kushukuru, pia walisema wahenga.
 
hivi sasa vijana wengi wameomba kusoma degree ya ualimu kwa vile wanapata mkopo lakini hawapedi kabisa kazi hii. tatizo kubwa la kazi hii ni mapato duni. lingine ni mazingira magumu ya kazi.

hali hii inawafanya hata wale wenye wito kukimbia ualimu.
walimu wanaobahatika kuishi katika mazingira mazuri mfano katika maeneo yanayosapoti kilimo wakishiriko katika kilimo/ufugaji wanaweza kuboresha maisha.

tatizo ni kuwa wanaweza kujisahau kuifanya kazi yao kikamilifu. mwalimu mwenye degree anayeishi mjini anaweza kukata tamaa akijilinganisha na wafanyakazi katika sekta nyingine muda mwingi yuko frustrated
 
By The Priest Mshahara wa polisi ukiwa na degree yeyote ile ni sh.455200 basic,na take home ni sh.359000,pia wanpata posho ya sh.100,000 katikati ya mwezi...hapo ni kabla hajapandishwa cheo chochote.

Wacha kutudanganya wewe, Polisi wanalipwa kutokana na vyeo vyao na sio degree wala certificate. Mfano Ukiwa na mbavu mbili unaitwa Koplo hapo mshahara wako unakua tofauti na siye na mbavu, hali kadhalika mwenye mbavu tatu na kuendelea. ukiwa na nyota pia unakua na mshahara tofauti na mwenye mbavu
mkuu kwani mwenye degree anapoanza si anakuwa daraja fulani ambalo mshahara wake unajulikana?
 
take home ni 347,000/== mshahara wa ajabu sana huu, kuna siku kidogo nigome kuuchkua, nikakaaaa nikawaza kwa kina nikaamua kuachana na hii job maana mazingira magumu, hakua overtime yenye malipo, full frustration yaani ukienda kule na knowledge yako lazima ita-expire within short time.....

Kama mwalimu huyo huyo analipwa 1,200,000 kwenye shule zisizo za serikali, inakuwaje mtu anang'ang'ania serikalini?
 
Nakubaliana na ww CHE GUEVARA-II asialimia 100, most of us do not realize that mishara dunia nzima ni ya kinyonyaji sana, ata uku private unafanya kazi nzito bosi yupo mlangoni kila saa anaulizia ripoti unafanya hadi overtime hata kama unalipwa overtime is just a peanut.

But when you look around you everything is money, toka nyumbani unaelekea ofisini angalia njian pesa zilivojaa, you can make money from almost everything with a small capital kama $100 ivi, sasa shida ni ubishororo, na digree yako wewe unaweza uza popcorn????, je unaweza anzisha banda la kuku 50 tu wa nyama au mayai na upinde mgongo kusafisha banda??(mavi ya kuku yananuka balaa). jee unaweza enda benki uchukua japo mkopo uanzishe kiwanda kidogo ata cha kutengeneza toothpicks?

As a first step think simply, look around (nyumban, barabarani, sokoni, ofisin, shambani ni kila mahali man) and see what you see, think about it to see what others can not see, then define interms of business and customer needs!
 
Last edited by a moderator:
mkuu kwani mwenye degree anapoanza si anakuwa daraja fulani ambalo mshahara wake unajulikana?

Mabadiliko ya mwez wa 7 ni kama ifuatavyo:
Basic salary 532000/= so after makato ni kama 430000/=.
 
Mwalimu mwenye degree mshahara ni sh. 532,290/= baada ya makato yote anapata 383,330/=
 
Back
Top Bottom