Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

ana wivu sana mmewe unajua wivu
pata picha rafiki yangu kwao dar wanaish kigoma but since2009 walivyooana kwao dada karudi mara moja tu
2009 mbona ni juzi tu? halaf kigoma mbali wewe ingekuwa morogoro sawa.
 
Wewe kweli nyumba kubwa
Wanawake wa aina yako wameisha hapa duniani aisee inabidi kuanzisha kampeni maana mnakaribia kupotea kabisa kama tembo wanavyo potea kutokana na ujangili

Kama una mdogo wa kike naomba unipe mimi nimuoe maana naamini atakuwa na busara kama zako
Mkuu binadamu sio kiwanda kwamba akizaa watoto wanakuwa wanafanana kila kitu. Unaweza kukuta huyo dogo ni mcharuko balaa.
 
yaani yy achepuke afu kuomba msamaha hataki? hii ndo shida ya wanawake wengi wakishapata kaelimu kidogo... taabu sana.

Hawa ndio wanalalama kila siku mwanaume anachepuka kumbe yeye ndio nguli wa kufunua marinda mwanamke punga kabisa huyo yani alete jeuri dhaur zooote wakati kafanya kosa??? hapa ndio nashindwa kuwaelewaga wanawake wenzangu ptuuu
 
basi mwite halafu mpe hyo pc ili ajisomee mwenyew muoneshe zoote hadi alivyotukanwa ili ajione kuwa n zuzu

yupo kigoma kwa ssa hata jf hayupo but i wish angeziona maana ye ndoa may b anachukulia easy
ntaendelea kumshauri
 
we kima usinletee stress zako.
kondoo jalala we.
pita hv.
umeelewa nlichoandika?
risasi umeshindwa kumpiga mamako alipokuzaa ukiwa kichwa maji utanipiga mimi?
shwain!
Easy teacher, You are better than this Gosh!!
 
Hata ingekuwa message ya kawaida...like hello; how is your holiday...inapaswa kutolewa maelezo yaliyonyooka kama mume atayahitaji badala ya majibu ya kebehi...

Maana fikiria wamefunga chuo, yuko Kigoma...kuna jamaa sijui yuko Iringa sijui Dar anamjulia hali mke wa mtu...maanake kamkumbuka sijui kam miss...

Ngoja na mimi nikiri humu hata mimi nina wivu...mume wangu say awe likizo afu mdada tu wanayefanya wote kazi atume message kumjulia hali sijui 'miss u' labda zisifike mbili... lazima niulize kunani...kwa nini huyu tu anakukumbuka? Mtu akae tu huko aliko aanze tu kumkumbuka mume wangu...ha ha ha...mimi mbona sikumbuki wala kuwamiss waume za watu au vijana...

Wote tumeuziana uhuru wetu tuliposema 'I do' mbele ya Mungu na Kanisa...




Hawa ndio wanalalama kila siku mwanaume anachepuka kumbe yeye ndio nguli wa kufunua marinda mwanamke punga kabisa huyo yani alete jeuri dhaur zooote wakati kafanya kosa??? hapa ndio nashindwa kuwaelewaga wanawake wenzangu ptuuu
 
Hata ingekuwa message ya kawaida...like hello; how is your holiday...inapaswa kutolewa maelezo yaliyonyooka kama mume atayahitaji badala ya majibu ya kebehi...

Maana fikiria wamefunga chuo, yuko Kigoma...kuna jamaa sijui yuko Iringa sijui Dar anamjulia hali mke wa mtu...maanake kamkumbuka sijui kam miss...

Ngoja na mimi nikiri humu hata mimi nina wivu...mume wangu say awe likizo afu mdada tu wanayefanya wote kazi atume message kumjulia hali sijui 'miss u' labda zisifike mbili... lazima niulize kunani...kwa nini huyu tu anakukumbuka? Mtu akae tu huko aliko aanze tu kumkumbuka mume wangu...ha ha ha...mimi mbona sikumbuki wala kuwamiss waume za watu au vijana...

Wote tumeuziana uhuru wetu tuliposema 'I do' mbele ya Mungu na Kanisa...

Asa kitendo cha huyo mwanamke kung'aka kama simba na kuja juu kimeonesha dhahir kuwa anamakosa lakini hataki kuukubali ukweli hapo mwanaume lazima asimamie chake bana huhuhuuuuu
 
yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe

Wewe nawe ni mbumbu tu.....huyo shoga yake asongepanda mmewe angemuelewa tu.....wewe umefanya kosa afu hutaki kuomba msamaha? she.nzi nn? Kwa mungu daily tunatubu ingali hatumwoni kwa nini usiombe msamaha kwa binadamu mwenzako uliyemkosea?
 
yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe

mleta mada ajafunguka vizuri na hajawa mkweli....mm namini huyo dada kakutwa na msg mbaya ya kuadiana pachuchu,

am sure mpaka jamaa kampeka Mkewe shule, huyu Mume ana jielewa sio kitu rahisi msg tu ya kawaida au utani iwagombanishe kiasi hicho.

Uyo dada awe Muwazi na ambe radhi
 
Stop judging a person just because they seen differently than you.

justice was created since then and stil working so how could i stop judging hata alieleta mada amepost akiwa namatumaini atapata clear & fair judgement ili amfikishie muhusika..
 
ukweli msg za kawaida ila mme ana wivu
so masharti anaona magumu
alichokosea alipoulizwa mwanzo mke alijibu jeuri(mwenyewe ndo alinambia )
mume akampa conditions hizo

una uwakika gani kuwa msg ilikuwa ya kawaida tu....

hivi naweza ukamtxt rafik hivi "hello mambo mzima wewe?"

Mume aone ndio iwe shida hivyo....hapa, kuna kitu cha ziada umefichwa au unatuficha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom