little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 558
mwambie aende zake asimpe wakati mgumu mwenzake... mtu unasomeshwa unakuwa jeuri
Habarini za jumapili
nna rafiki yAngu km ndugu yangu ameolewa huu ni mwaka wa tano ana watoto 2
ameenda chuo mwaka jana maana na alikosa mkopo mumewe ndo msomeshaji
mume ana wivu hatarii kipnd
yuko likizo mmewe kakuta msg kutoka kwa mwanachuo mwenzie,mume kapaniki mke nae akaja juu badala ya kuomba msamaha
mume akampa option 3 aache chuo afu ajiunge na OPEN this year au aombe ajira za serikali afanye kazi ajisomeshe mwenyewe mana ana stashahada ya ualimu ila alivyomaliza hakuenda gvt alienda private kumfata mmewe
Ya tatu watengane
mme kamkatalia katu kurudi chuo
my friend kaniambia yuko tayari kutengana mana hawezi kumnyenyekea tena
mi nimemwambia endelea kuomba msamaha tu my friend kasema kamuomba ila jamaa hataki
mi sijamshauri kutengana ilA nimemwambia kua mvumilivu yataishA
vyuo wanafungua hv karibuni but still mme amekomaa mdada kanambia yaani hana mda wa kunyenyekea MUNGU mtu tena elimu kwanza...
Mana kashapoteza sana
jamani naombeni mawazo yenu ili huyu dada na mmewe wasiachane tafadhalini
mtaachana sana kwa upumbavu wenuAcha kuuliza upumbavu...
Chardams,...avatar yako ni kama inaujumbe fulan vile!
Hata sijaelewa ulichoandika
Nakata hiyo kamaba.....Sipati picha ikikutokea, hivi utafanya je?
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama
huwa nikiskia stori kama hizi ndio nakosa hamu ya kuoa kabiiiisaaa.......!!!
Mwambie atulie na mumewe miti haina mwisho hii ya kuchapana kwa ajili ya paper au mitihani inaishiaga hapohapo Chuoni kwani hakuna mapenzi kabisa ni michosho
ni Chuo gani hicho tutajie tunaweza jua mazingira yake (MuccoBs - Moshi au ni hizi TTC?) mbona mnamaliza Advance Dip halafu mnaanza tena Diploma?
Hapo umenipa mwangaMkuu alimaanisha adv form 5&6
Then kaenda dip ya ualim coz wazazi wake hawakuweza.kumsomesha chuo kikuu ndo nilivyoelewa kuna post kasema...
Ss siv et wazazi wanampa kichwa wanamshauri arudi tu km watt watalea!
Hao wazazi saiz ndo wanaona hyo mwanaume hafai?!I wonder
muulize alikua akitafuta nini kwenye simu ya mkewe?