Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

mwambie aende zake asimpe wakati mgumu mwenzake... mtu unasomeshwa unakuwa jeuri
 
Habarini za jumapili
nna rafiki yAngu km ndugu yangu ameolewa huu ni mwaka wa tano ana watoto 2
ameenda chuo mwaka jana maana na alikosa mkopo mumewe ndo msomeshaji
mume ana wivu hatarii kipnd
yuko likizo mmewe kakuta msg kutoka kwa mwanachuo mwenzie,mume kapaniki mke nae akaja juu badala ya kuomba msamaha
mume akampa option 3 aache chuo afu ajiunge na OPEN this year au aombe ajira za serikali afanye kazi ajisomeshe mwenyewe mana ana stashahada ya ualimu ila alivyomaliza hakuenda gvt alienda private kumfata mmewe
Ya tatu watengane
mme kamkatalia katu kurudi chuo
my friend kaniambia yuko tayari kutengana mana hawezi kumnyenyekea tena
mi nimemwambia endelea kuomba msamaha tu my friend kasema kamuomba ila jamaa hataki
mi sijamshauri kutengana ilA nimemwambia kua mvumilivu yataishA
vyuo wanafungua hv karibuni but still mme amekomaa mdada kanambia yaani hana mda wa kunyenyekea MUNGU mtu tena elimu kwanza...
Mana kashapoteza sana
jamani naombeni mawazo yenu ili huyu dada na mmewe wasiachane tafadhalini

huwa nikiskia stori kama hizi ndio nakosa hamu ya kuoa kabiiiisaaa.......!!!
 
Mwanamke mjinga ataibomoa nyumba yake yeye mwenyewe.
 
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama
 
Jeuri dawa yake ni kiburi.... Mwambie atakula chuya kwa uvivu wa kupembuaa...
 
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama

mwanamke afu ni rafiki yangu
 
Mwambie km anataka maisha achague mmoja na atulie ndo itakuwa suluhu maana akikaa kwenye mchepuko ataharibu, hebu fikiri ungekuwa ww unagharamia huku unajibana ungejisikiaje?
 
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama

Aliyeleta uzi ni mwanamke...jifunze kusoma mada yote ewe Ally
 
Uliyeleta uzi huu unaonekana unapenda wake za watu kwa vya bure, starehe gharama, mlipie ada km unampenda na uwe tayari kwa matatizo yote ya kifamilia maana wenzio wanajitahidi kywagharamia, kinachoa hapo ni gharama

hizi bangi hizi mbaya sana aisee?!
Hvi umeelewa maada? Au unaona nyota tu
 
huwa nikiskia stori kama hizi ndio nakosa hamu ya kuoa kabiiiisaaa.......!!!

Wala ht wasikutishe
We differ my frnd!

Huyu mwanamke na ndugu wanaompa kichwa hawana akili
Mi huyu mwanaume angekuwa ndugu yangu ningemwambia apige chini huu ujinga
Halafu wanasema ndoa ngumu kwa ujinga hui!!?
 

Mwambie atulie na mumewe miti haina mwisho hii ya kuchapana kwa ajili ya paper au mitihani inaishiaga hapohapo Chuoni kwani hakuna mapenzi kabisa ni michosho
ni Chuo gani hicho tutajie tunaweza jua mazingira yake (MuccoBs - Moshi au ni hizi TTC?) mbona mnamaliza Advance Dip halafu mnaanza tena Diploma?

Mkuu alimaanisha adv form 5&6
Then kaenda dip ya ualim coz wazazi wake hawakuweza.kumsomesha chuo kikuu ndo nilivyoelewa kuna post kasema...
Ss siv et wazazi wanampa kichwa wanamshauri arudi tu km watt watalea!
Hao wazazi saiz ndo wanaona hyo mwanaume hafai?!I wonder
 
Aende shule na aendelee kuomba msamaha.! awe M kweli na azidishe vitendo vya upendo dakika tano zawezabadili nafsi ya Me.
 
Mkuu alimaanisha adv form 5&6
Then kaenda dip ya ualim coz wazazi wake hawakuweza.kumsomesha chuo kikuu ndo nilivyoelewa kuna post kasema...
Ss siv et wazazi wanampa kichwa wanamshauri arudi tu km watt watalea!
Hao wazazi saiz ndo wanaona hyo mwanaume hafai?!I wonder
Hapo umenipa mwanga
maana hata huyo shost niliyemzungumzia alikwenda Chuo cha ualimu huku kanda ya kati,
ikawa minazi kila usiku wa Dinner, kurudi ANAO
ndio maana nikasisitiza hivi Vyuo vya utu uzima wakikutana na watoto wageni walio kwenye Ndoa changa huwa zinavunjika
kwani huwa wanaona hiyo miti ya kucharazwa hewani ni ya maana kuliko kulea Ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom