Jeismyl
Member
- Sep 4, 2014
- 24
- 10
Huyo rafiki ako anakiburi sana.. leo elimu ni bora kuliko mume kweli.. inatakiwa ifike kipindi aishi kama matured person mbona ana behave kama mtoto wa secondary? Nawe unaona nani aba makosa? Maana unataka sasa kuekekea upande mmoja kwasababu unamwambia avumilie ye alikwambia anateswa? Au kwa maamuzi hayo ya mumewake unaona ameonewa? Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Ndoa kwanza Elimu baadae.