Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

Sasa kama kakutwa na message kiburi cha nini? Kwani kujishusha sh ngapi? Angeomba msamaha yaishe...hamna mkate mgumu mbele ya Chai huyo mume angeelewa tu...

Sasa wakitengana ada atalipa nani? Kapewa mkopo au ndo mpango kando?

Halafu kashindwa kuelewa mtu aliyeamua kumsomesha ndio wa muhimu katika maisha.

Ingekuwa rahisi yeye kusomeshwa basi wazazi wake wangemsomesha halafu awaketee kiburi hicho...mpuuzi huyu.
 
Kamwambie kwa sura iliyokomaa na kushupaa, mnyooshee kidole katikati ya paji la uso wake useme "mtii mumeo manake hivyo ndivyo ikupasavyo kufanya"

kwani tazama huwezi kujutia hasara uipatayo kama huijui hiyo hasara, ole wake yakimpata mambo magumu mbeleni akishupaza shingo leo, atajibeba na elimu anayoitafuta.

samahani "mimi si nabii" na huyo rafiki yako asimshawishi MUNGU kuutia unabii kwangu kwa ajili yake.

asante sana
 
Ushauri wangu ni kwamba,
Akamwambie huyo mwanachuo mwenzake aliyemtumia msg amlipie ada.
 
Halafu kashindwa kuelewa mtu aliyeamua kumsomesha ndio wa muhimu katika maisha.

Ingekuwa rahisi yeye kusomeshwa basi wazazi wake wangemsomesha halafu awaketee kiburi hicho...mpuuzi huyu.
Kwao hawana uwezo tumemaliz adv2007 wazaz wake walishndwa kumudu gharama akaenda dip
 
raha ya Chuoni ni ya muda mfupi kwani atamaliza na kupata ajira
napo katika ajira atakuja kustaafu
Mapenzi ya Chuoni ni hatari sana kwani kule watu wanapiga fimbo za wima wanaita minazi
mwaka wa kwanza ukiingia unabebwana 2nd year au 3rd
lakini UKIMWI hawezi kuuona mpaka aukwae, maana huko ndio mke wa jamaa yangu mwenye watoto wa2 aliubebea
Mkuu Ukwaju fimbo za wima kuzimudu labda awe mtoto wa mjini,hao waliotoka shamba wakikutana nazo ndo hapo wanapodata na kuvunja ndoa zao.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama kakutwa na message kiburi cha nini? Kwani kujishusha sh ngapi? Angeomba msamaha yaishe...hamna mkate mgumu mbele ya Chai huyo mume angeelewa tu...

Sasa wakitengana ada atalipa nani? Kapewa mkopo au ndo mpango kando?
Aliharibu mwanzo alivyuoulizwa akajitia ujuaji
 
wao hawataki kusameheana ila ww mbio mbio JF kuomba ushauri kwa ajili yao ? ni kwamba huna mambo ya kufanya ? au wewe yakwako umemaliza ? hata tukikupa ushauri huo utaupeleka wapi kama hata uliompa mwanzo ameshindwa kukusikiliza ? jibu maswali yote kwa usahihi ndipo utake ushauri
 
Halafu kashindwa kuelewa mtu aliyeamua kumsomesha ndio wa muhimu katika maisha.

Ingekuwa rahisi yeye kusomeshwa basi wazazi wake wangemsomesha halafu awaketee kiburi hicho...mpuuzi huyu.

Baba yangu alikuwa ananambia "Hewala hewala si utumwa"
Ukijua kujishusha unaweza kuishi na kila mtu hapa duniani....
 
Huwa nawashangaa watu wa aina hii....simu zenu zina nini?

We huwa unatafuta nini kwenye hizo cm:

Ukiona mwenzio hakuamini basi jua sio mwaminifu hivyo anadhani mabo anayvo fanya na we unayafanya. Trust me and i wil trust you.

Wivu sina ila roho inauma baibe
 
wao hawataki kusameheana ila ww mbio mbio JF kuomba ushauri kwa ajili yao ? ni kwamba huna mambo ya kufanya ? au wewe yakwako umemaliza ? hata tukikupa ushauri huo utaupeleka wapi kama hata uliompa mwanzo ameshindwa kukusikiliza ? jibu maswali yote kwa usahihi ndipo utake ushauri

hahahaaa.... geniveros kuja hapa
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndipo alipokosea...mwambie aahairishe mwaka, hadi mwakani shem atakuwa kamuelewa..tena ikiwezekana aende chuo na mimba nyingine ili wivu upungue....

ana mtoto kajifungua june this year
 
Kwao hawana uwezo tumemaliz adv2007 wazaz wake walishndwa kumudu gharama akaenda dip
Nje ya mada kidogo....
mmemaliza advance 2007?
..soon naitwa babu bila kuwa na mtoto..teh!
 
wao hawataki kusameheana ila ww mbio mbio JF kuomba ushauri kwa ajili yao ? ni kwamba huna mambo ya kufanya ? au wewe yakwako umemaliza ? hata tukikupa ushauri huo utaupeleka wapi kama hata uliompa mwanzo ameshindwa kukusikiliza ? jibu maswali yote kwa usahihi ndipo utake ushauri

a friend in need is a friend in deed
bado sijakata tamaa kumshauri
ndoa ni tukio kubwa sana
yawezekna anapta ushauri kutoka kwa wengine ambao si mzuri
na lengo na pia wengine tujifunze pia
mume kamsamehe ila kwa masharti
mke mgumu kukubali ila bado naamini ataelewa
kuna watu wametoa ushaur hadi mi pia nkatamani awepo ajifunze i know the girl kwa mda kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom