Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

Hako kadume kaliko mtumia meseji hajui kamemtumia Kwa vile mke wa mtu akiachika atakiona cha moto katamkimbia ada na matumizi atatoa wapi wanawake wengi ni shidaaaaaaah.
 
Kwao hawana uwezo tumemaliz adv2007 wazaz wake walishndwa kumudu gharama akaenda dip

Ss hao wazazi leo wanajishaua nn?

Yaani leo ndo wanamshauri ujinga wanaona huyo mume hana.maana?

Mwambie aondoke
Halafu mwaume avute mke mwingine mpumbavu hana shukrani
 
Hii Thread in mafunzo mengi sana.

Watu wengi siku hizi kila siku wanalalamika ndoa ngumu, ukweli ni kwamba, kwenye mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume kuna wakati kutakuwa na kukinzana kwenye maamuzi, mwanaume anataka A, mwanamke anataka B.... Hapo ndipo "weak" link ya mahusiano. Ni namna gani mnahandle hizo situations will determine kama mtadumu au mtapotea.

Something has to give!

Mmoja wenu lazima aseme, niko tayari kupoteza hili kwa sababu kuna jambo kubwa zaidi la kuokoa. Na huku Africa, kunapotokea hizo moments, MEN WILL DEMAND THAT THEIR WILL IS DONE. Sasa wewe kama ni mwanamke na upo kwenye mahusiano ya KIAFRIKA, jiandae kwa hilo. Ni mara chache sana ukakuta mwanamme aka-back down kwenye mambo kama haya hasa linapokuja swala la kuhisi unaibiwa au utaibiwa. No men will want to risk their marriage in this way.

Mimi mwenyewe mke wangu mtarajiwa, ingawa bado hata sijamuoa lakini when it comes to critical matters, when I say no I mean no and it will be a no. Atalalamika lakini hatafanya, mwisho wa siku tutaenda out na atasahau. Mwanamke bila utii, mahusiano yako yatayumba tu, utabaki kusema sina bahati, sina bahati kumbe tatizo ni jeuri zako.
 
tumshauri ili iweje firauni uyo! limechepuka likanogewa linasahau fadhila za mumewe, ndoa na watoto.. jitu lenyewe papuchi used liache liende kuliwa tigo

ndo mwenye mke nn mkuu
 
mmh!! sasa hapo anadhani anamkomoa nani? hapo inahitajika busara ya hali ya juu ifikie hatua mwanamke atambue nafasi yake kama mke asijifanye na yeye kichwa, tena anamletea kiburi mume ambae anamsomesha!! whts the heck!
kwani angekuwa mpole na kumuelewesha mumewe juu ya hiyo msg angebabuka!!
kiburi hadi kwa mume!! au kishapata mtu huko chuo anamzuzua? kweli wanawake mwalimu wetu kipofu, alidhani ndoa lelemama? yahitaji uvumilivu,busara,hekima,kujishusha......nk
 
Hili la imani zao sio la kupuuza,kuna imani zenye ndoa za msimu.na unaweza kuoa leo ukaacha kesho.keshokutwa ukaoa tena siku inafuata unaongeza mwingine.
Wako kundi hili waambie, walipaswa kuachana wiki mbili baada ya ndoa yao!
 
Habarini za jumapili
nna rafiki yAngu km ndugu yangu ameolewa huu ni mwaka wa tano ana watoto 2
ameenda chuo mwaka jana maana na alikosa mkopo mumewe ndo msomeshaji
mume ana wivu hatarii kipnd
yuko likizo mmewe kakuta msg kutoka kwa mwanachuo mwenzie,mume kapaniki mke nae akaja juu badala ya kuomba msamaha
mume akampa option 3 aache chuo afu ajiunge na OPEN this year au aombe ajira za serikali afanye kazi ajisomeshe mwenyewe mana ana stashahada ya ualimu ila alivyomaliza hakuenda gvt alienda private kumfata mmewe
Ya tatu watengane
mme kamkatalia katu kurudi chuo
my friend kaniambia yuko tayari kutengana mana hawezi kumnyenyekea tena
mi nimemwambia endelea kuomba msamaha tu my friend kasema kamuomba ila jamaa hataki
mi sijamshauri kutengana ilA nimemwambia kua mvumilivu yataishA
vyuo wanafungua hv karibuni but still mme amekomaa mdada kanambia yaani hana mda wa kunyenyekea MUNGU mtu tena elimu kwanza...
Mana kashapoteza sana
jamani naombeni mawazo yenu ili huyu dada na mmewe wasiachane tafadhalini

90% ya wake za watu wanaosoma vyuo vikuu wanatarasuliwa na vijana hapo chuo... mume anapoteza hela zake na mwanamke jeuri....I FEEL SORRY FOR THE GUY HANA MKE HAPO.
 
Jamaa yuko sahihi. Waloolewa vyuoni ni shida tupu, na hivi hana mkopo!!
 
Mwanaume hawezi kukasirika bure. Hiyo message lazima ilikuwa nzito tena ya kimapenzi. Eti utani. Bullcrap! Na hicho kiburi ni dhahiri huyo rafiki yako anagongwa huko chuoni. Mwanamke tena mke wa mtu mwenye hekima hawezi entertain ujinga kutoka kwa wanaume wengine. She is pro'ly cheating on her husband. Akiendelea na kiburi ajue atayeshindwa ni yeye. Hao wanafunzi wenzake wanaomgonga wanamuona mzuri kwa kuwa mwanaume mwenzi wao anatunza. Ngoja aachike aone. Vile vile mueleze rafiki yako, wanawake ni wengi sana na warahisi sana siku hizi. Aache kiburi na abadilike.
 
Mwambie aombe msamaha tena na tena,ingawa itakuwa ngumu maana ameshatoa majibu ambayo ni hayo masharti 3,na amuombe Mungu wake sana sababu hiyo ni sms tu masharti kibao,akimfumania hakika atamtoa roho
 
Siku zote mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
samahan ulieleta huu uzi ila sjakuelewa well kua jamaa kakuta message gani ila inaonesha rafiki yako ni kiburi na ndio mana anasema hawezi kumnyenyekea mtu na ndio mana anasema shule kwanza.

Muulize kama anasema shule kwanza then hiyo hela ya ada ataipata wapi kama mme kasema hayuko tayari tena kutoa?Au huyo aliemtumia message ndio katoa ahadi ya kumsomesha?Watu wanakupenda ukiwa nacho ila kikitolewa hautawaona tena.Vijana weng wanapenda wake za watu kwa sabab wanajua mko well financially ila pindi jamaa akikata mirija yote ya hela ndio utamjua huyo kijana wako
 
Tuambie msg ilikuwa inasemaje, mbona unakwepa. ukitaka ushauri weka mambo wazi, yawezekana jamaa kakuta msg ambayo inamsifu mama kwa mautundu yake aliyomfanyia mwanachuo mwenzake!!!
Chardams,...avatar yako ni kama inaujumbe fulan vile!
 
Inategemea ni uzito gani anaipa ndoa yake..

Social network haiwezi kuwa muhimu kuliko ndoa...
Nakumbumbuka kuna siku mimi na mume wangu tuliwai ku discuss whether we real need to be on facebook...

Mi kila mtu anajua nimeolewa; sioni aibu kuwaambia office mate ukweli kuwa mume wangu ana wivu waache kunitania tania...na wala sipati message zozote toka jinsia nyingine kwa kuwa nime draw a line...na sioni aibu kuwa under someone else's control...to me that is love...uhuru lazima uwe na mipaka...

Sasa kwa experience na habari zilizozagaa kuhusu wake za watu vyuoni; mdada alitakiwa awe extra careful asijiwekee ukaribu na jinsia ya kiume...mwanaume yeyote mwenye kujua position yake lazima awe makini sana mkewe akiwa chuoni...maana anajua michezo inayoendelea...

Kuna mtoto wa aunt yangu alikuwa anasomeshwa na mumewe CBE yani hadi aibu...anarudi usiku wa manane eti group discussion...na mumewe bwe.ge...group discussion my foot...kabinti kazuri kweli kweli na nyepesi nyepesi ni kuwa ana behave just like any single lady...ana date kama kawa chuoni na mujini...
Wewe mdada unaakiri sana nakuombea Mungu uendelee hivyo hivyo,..always sitoacha kukuambia ukweli,..your husband deserve to be with U!
 
Hako kadume kaliko mtumia meseji hajui kamemtumia Kwa vile mke wa mtu akiachika atakiona cha moto katamkimbia ada na matumizi atatoa wapi wanawake wengi ni shidaaaaaaah.
Wapi TIQO!...........
 
Kama Mumewe Mbongo well hata kama utani aombe msamaha, kibongobongo hakunaga utani kati ya Mke wa Mtu na mwanaume mwingine yeyote , so amemkosea Mumewe aache Ubishi! hata kama anahisi hana kosa yeye aombe msamaha tu , yaani awe zezeta ajishushe tu, aombe msamaha yaani na kusisitiza ni kiasi gani anampenda!
 
Kwao hawana uwezo tumemaliz adv2007 wazaz wake walishndwa kumudu gharama akaenda dip

Mwambie atulie na mumewe miti haina mwisho hii ya kuchapana kwa ajili ya paper au mitihani inaishiaga hapohapo Chuoni kwani hakuna mapenzi kabisa ni michosho
ni Chuo gani hicho tutajie tunaweza jua mazingira yake (MuccoBs - Moshi au ni hizi TTC?) mbona mnamaliza Advance Dip halafu mnaanza tena Diploma?
 
Naomba umwambie huyo dada asiache chuo huyo mwanaume ana makubwa anayofanya lkn mkewe hajawai ona tu sasa akitaka kuwa house girl aache chuo ,simama mwanamke imara usitetemeshwe na maisha ya leo jua ya kesho .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom