Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

Inategemea ni uzito gani anaipa ndoa yake..

Social network haiwezi kuwa muhimu kuliko ndoa...
Nakumbumbuka kuna siku mimi na mume wangu tuliwai ku discuss whether we real need to be on facebook...

Mi kila mtu anajua nimeolewa; sioni aibu kuwaambia office mate ukweli kuwa mume wangu ana wivu waache kunitania tania...na wala sipati message zozote toka jinsia nyingine kwa kuwa nime draw a line...na sioni aibu kuwa under someone else's control...to me that is love...uhuru lazima uwe na mipaka...

Sasa kwa experience na habari zilizozagaa kuhusu wake za watu vyuoni; mdada alitakiwa awe extra careful asijiwekee ukaribu na jinsia ya kiume...mwanaume yeyote mwenye kujua position yake lazima awe makini sana mkewe akiwa chuoni...maana anajua michezo inayoendelea...

Kuna mtoto wa aunt yangu alikuwa anasomeshwa na mumewe CBE yani hadi aibu...anarudi usiku wa manane eti group discussion...na mumewe bwe.ge...group discussion my foot...kabinti kazuri kweli kweli na nyepesi nyepesi ni kuwa ana behave just like any single lady...ana date kama kawa chuoni na mujini...

usemayo ni kweli kabisa tatizo wazazi wa kikeni wanamwambia kaa vp rudi tuu
hao watoto tutalea tuu
kasome asikubabaishe
 
Inategemea ni uzito gani anaipa ndoa yake..

Social network haiwezi kuwa muhimu kuliko ndoa...
Nakumbumbuka kuna siku mimi na mume wangu tuliwai ku discuss whether we real need to be on facebook...

Mi kila mtu anajua nimeolewa; sioni aibu kuwaambia office mate ukweli kuwa mume wangu ana wivu waache kunitania tania...na wala sipati message zozote toka jinsia nyingine kwa kuwa nime draw a line...na sioni aibu kuwa under someone else's control...to me that is love...uhuru lazima uwe na mipaka...

Sasa kwa experience na habari zilizozagaa kuhusu wake za watu vyuoni; mdada alitakiwa awe extra careful asijiwekee ukaribu na jinsia ya kiume...mwanaume yeyote mwenye kujua position yake lazima awe makini sana mkewe akiwa chuoni...maana anajua michezo inayoendelea...

Kuna mtoto wa aunt yangu alikuwa anasomeshwa na mumewe CBE yani hadi aibu...anarudi usiku wa manane eti group discussion...na mumewe bwe.ge...group discussion my foot...kabinti kazuri kweli kweli na nyepesi nyepesi ni kuwa ana behave just like any single lady...ana date kama kawa chuoni na mujini...
nyumba kubwa nimekupenda bureee
 
Last edited by a moderator:
Uyo dada ajishushe tu, ni ngumu mwanaume kukubali kwamba iyo sms ni ya utani.Amuombe msamaha mme wake ili aendelee na chuo( sio open).

Ajifunze kutokana na makosa.Asiwe anakubali masms ya ajabu ajabu kutoka kwa wanaume atambue ye ni mke wa mtu.
Mfano mimi mtu( mwanaume) akinitumia sms hata kama ya utani lakini ni mbaya huwa namuambia asirudie tena mimi ni mke wa mtu sitaki sms za namna iyo.Uyo mtu haezi rudia tena
 
Mbona unaongea kinyume chake.....ukioa darasa la saba siku akipata nafasi ya kuchangamana na watu tu umekwenda na maji.... Huyo dada alizoea kukaa boarding maana boarding ya diploma hasa ya ualimu haitofautiani sana na ya sekondari....alipoenda chuo akaona watu wanajiachia tu akaanza kujilaumu maskini mimi sijui nlikuwa nazkimbilia nini mimi kwa lile libaba. Lakini angekuwa ameshapita huko angekuwa nyani mzee aliyekwepa mishale mingi wala hakuna kitu kingeweza kumbadilisha.... Samahani nilikuwa najibu tu hii comment ya Mgirik simaanishi huyo dada ndo yuko hivyo

umegusa penyew na ndicho anachokiwaza huyo dada....
Haya mambo ya kuonja ukubwan nayo ya kero zake....
Uskute hata habar ya chumvin alikuwa haijui sasa kakutana na katoto ka chuo kamedeki hata choo mmama wa watu akili zmemruka haoni tena umuhim wa mume wake anamuona kama karunguyeye
 
Last edited by a moderator:
Hapo nimeanza kumuelewa..
Ndoa nyingi zinavunjwa na ndugu na wazazi...
Ndio maana saa nyingine ukijua tabia ya ndugu zako unatakiwa usiwaweke karibu na ndoa yako...

Ingawa kuna ndugu wenye busara pia..

Najua ikija kwenye elimu ndugu wengi huo utakuwa ushauri wao...

Nakumbuka dada yangu alipata chance ya kusoma Ph.D mume wake akawa hataki...wakati yeye pia ni Ph.D holder...

Dada angu akukubali akasema ntasoma tu utake usitake...ila akasema sitaenda soma nje ntasomea hapa hapa ntakuwa na joint registration na chuo cha US ili muda mwingi niwe TZ...

Mumewe akaenda kumshitaki kwa baba...

Baba angu akamsema sana dada yangu kuwa si vizuri kujiamulia mambo bila kupata baraka za mumeo...dada yangu mpaka alilia mbele ya baba siku hiyo...hakuamini...

Baada ya siku moja baba kampigia simu dada yangu anamwambia, 'wewe ulitegemea niseme nini kwa mkwe wangu...acha ujinga nenda shule...yeye mbona msomi'

Kweli dada yangu sasa ana Ph.D na ndoa bado anayo...lakini she was ready for anything kwani alimuona mumewe selfish ...ila na baba nae ndio aliua kabisa...

Afu tukienda kwa baba anatusimulia huku anacheka xxx(shemeji yetu) anachekesha sana; anaogopa mkewe kusoma kwa kuwa watalingana...


usemayo ni kweli kabisa tatizo wazazi wa kikeni wanamwambia kaa vp rudi tuu
hao watoto tutalea tuu
kasome asikubabaishe
 
Ndio khabari yenyewe hutaki kukaguliwa simu yako kaa nyumbani uwe msimbe wa kubebwa na kila mtu. Mke hana amri juu ya mwili wake na alivyo navyo isipokuwa mume vivyo vivyo na mume pia . Siwezi mkataza mke asishike simu yangu hata kama nimeharibu nitakuwa mpole kwake na kutubu pia kumuomba ushauri wa jinsi ya kushinda vishawishi hivyo badala la kuficha na kuleta janga la ukimwi ktk familia.

Wabongo wengi hawatokuelewa ila huu ndo ukweli halisi..!
 
tumshauri ili iweje firauni uyo! limechepuka likanogewa linasahau fadhila za mumewe, ndoa na watoto.. jitu lenyewe papuchi used liache liende kuliwa tigo

Stop judging a person just because they seen differently than you.
 
umegusa penyew na ndicho anachokiwaza huyo dada....
Haya mambo ya kuonja ukubwan nayo ya kero zake....
Uskute hata habar ya chumvin alikuwa haijui sasa kakutana na katoto ka chuo kamedeki hata choo mmama wa watu akili zmemruka haoni tena umuhim wa mume wake anamuona kama karunguyeye

umenchekesha sana
 
usemayo ni kweli kabisa tatizo wazazi wa kikeni wanamwambia kaa vp rudi tuu
hao watoto tutalea tuu
kasome asikubabaishe

ona sasa nao wazaz n vimeo tu. Wanaacha kuwajenga watoto wao ndio wanamjaza kiburi..
Ipo sku atakuja kuwalaumu hao wazaz wake na huyo anamvua kyupi pamoja na ujinga wake
 
Hapo nimeanza kumuelewa..
Ndoa nyingi zinavunjwa na ndugu na wazazi...
Ndio maana saa nyingine ukijua tabia ya ndugu zako unatakiwa usiwaweke karibu na ndoa yako...

Ingawa kuna ndugu wenye busara pia..

Najua ikija kwenye elimu ndugu wengi huo utakuwa ushauri wao...

Nakumbuka dada yangu alipata chance ya kusoma Ph.D mume wake akawa hataki...wakati yeye pia ni Ph.D holder...

Dada angu akukubali akasema ntasoma tu utake usitake...ila akasema sitaenda soma nje ntasomea hapa hapa ntakuwa na joint registration na chuo cha US ili muda mwingi niwe TZ...

Mumewe akaenda kumshitaki kwa baba...

Baba angu akamsema sana dada yangu kuwa si vizuri kujiamulia mambo bila kupata baraka za mumeo...dada yangu mpaka alilia mbele ya baba siku hiyo...hakuamini...

Baada ya siku moja baba kampigia simu dada yangu anamwambia, 'wewe ulitegemea niseme nini kwa mkwe wangu...acha ujinga nenda shule...yeye mbona msomi'

Kweli dada yangu sasa ana Ph.D na ndoa bado anayo...lakini she was ready for anything kwani alimuona mumewe selfish ...ila na baba nae ndio aliua kabisa...

Afu tukienda kwa baba anatusimulia huku anacheka xxx(shemeji yetu) anachekesha sana; anaogopa mkewe kusoma kwa kuwa watalingana...

baba ako ana hekma sana
huyu bnt kwao wako wawl ye na kaka ake tu
wazazi nao busara hawana japo mi nimemsihi usijaribu kuondoka utapta laana ya mme
 
usemayo ni kweli kabisa tatizo wazazi wa kikeni wanamwambia kaa vp rudi tuu
hao watoto tutalea tuu
kasome asikubabaishe
Mi ningekua huyo jamaa Ningemruhusu aende akasome ila kwa gharama zake tunavunja mahusiano kwa muda mpaka amalize kusoma akirudi tuna che k afya then maisha yanae ndelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom