jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
mi alivyonambia pia nilimwambia km ulivyosema wewe akaniuliza
"ina maana niache shule kwa sababu yake?"
ningeweza ningeambtanisha msg moja alontumia
nikamjibu nooo usiache fanya atakavyo akanambia
"G noo umeniacha sana we mwenzangu unasema hvyi kwa kua uko serkalin na unamaliza nyingine mi lini"kwani mumeo si km wangu tuu
nkamwambia wako tofauti kimawazo ila mi sipendi waachane
Kamwambie kwa sura iliyokomaa na kushupaa, mnyooshee kidole katikati ya paji la uso wake useme "mtii mumeo manake hivyo ndivyo ikupasavyo kufanya"
kwani tazama huwezi kujutia hasara uipatayo kama huijui hiyo hasara, ole wake yakimpata mambo magumu mbeleni akishupaza shingo leo, atajibeba na elimu anayoitafuta.
samahani "mimi si nabii" na huyo rafiki yako asimshawishi MUNGU kuutia unabii kwangu kwa ajili yake.