Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,518
- 1,045
"Mwanamkr mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe"
yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe
Wanaume wanapenda kunyenyekewa sana aisee
Kwa mujibu wa imani zetu, wao ni mwili mmoja..!Yaani mpaka hapo inaonyesha hawaaminiani!
Km unamwamini mtu wako huwezi kumpekua pekua!
Na pia km huyo mwanamke kweli anatabia hyo ht amwamishe chuo afanyaje ataendelea tu.
Hilo ni tatizo kubwa!
Kati ya simu na papuchi kipi ni sensitive?. Kama anakagua papuchi kila siku na gegedo simu ni nini hata isiguswe?. Wewe naye mchepuko tu.
Kwa mujibu wa imani zetu, wao ni mwili mmoja..!
Kama anaweza kulala nae uchi wa mnyama usiku mzima, simu ni kitu gani ili aifiche?
Sioni sababu mtu kuwa na total privacy ya simu kwa mwenza wake ili hali privacy ya uchi wake hana...!
shetani alimkorofisha MUNGU pale alipoacha kutii mamlaka.
mwambie huyo rafiki yako kama anacho kitombeo aendelee na mpango wake wa kwenda chuo, lakini kama hana basi na amnyenyekee mumewe kwa ajili ya hicho asichokimiliki mwilini mwake.
aende kuahirisha masomo yake, atulie nyumbani kurepear trust iliyopata ufa wa sms, furaha ya mumewe ikimrudia anaweza kumrudisha tena chuo.
asing'ang'anie kuwa sahihi kwani hakuna ajuaye kesho itazaa nini.
N.B leo tumefundishwa kanisani ya kwamba tusiwe wasahaulifu wa matendo makuu ya MUNGU.
Tehe tehee nimecheka sanaa
Yaani mpaka hapo inaonyesha hawaaminiani!
Km unamwamini mtu wako huwezi kumpekua pekua!
Na pia km huyo mwanamke kweli anatabia hyo ht amwamishe chuo afanyaje ataendelea tu.
Hilo ni tatizo kubwa!
Wewe kweli nyumba kubwaInategemea ni uzito gani anaipa ndoa yake..
Social network haiwezi kuwa muhimu kuliko ndoa...
Nakumbumbuka kuna siku mimi na mume wangu tuliwai ku discuss whether we real need to be on facebook...
Mi kila mtu anajua nimeolewa; sioni aibu kuwaambia office mate ukweli kuwa mume wangu ana wivu waache kunitania tania...na wala sipati message zozote toka jinsia nyingine kwa kuwa nime draw a line...na sioni aibu kuwa under someone else's control...to me that is love...uhuru lazima uwe na mipaka...
Sasa kwa experience na habari zilizozagaa kuhusu wake za watu vyuoni; mdada alitakiwa awe extra careful asijiwekee ukaribu na jinsia ya kiume...mwanaume yeyote mwenye kujua position yake lazima awe makini sana mkewe akiwa chuoni...maana anajua michezo inayoendelea...
Mkuu umeona contents za hiyo sms? Nimekuwepo kwenye maisha ya campuses kadhaa so nafahamu namna ambavyo married pipo wanavyobehave wakiwa huko more often than not.sms?
ndo masharti yote hayo?kazi ipo!
nimemwambia kanambia mi siwezi nkamwambia utaweza mbona watu wana graduate tuu?