Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

umegusa penyew na ndicho anachokiwaza huyo dada....
Haya mambo ya kuonja ukubwan nayo ya kero zake....
Uskute hata habar ya chumvin alikuwa haijui sasa kakutana na katoto ka chuo kamedeki hata choo mmama wa watu akili zmemruka haoni tena umuhim wa mume wake anamuona kama karunguyeye

Umechakachua point yangu....suala sio kuanza mambo ukubwani bali ni kuanza kukutana na vishawishi ukubwani
 
Mwambie mchepuko ndio umlipie ada,mmewe anaangaika kumsomesha halafu yeye anaenda kuleta ya ngoswe chuo!!!!
 
Ndoa sio ngum kama kichwa chako cha habari,niliolewa nikiwa third year na nilikua nnafanya 4 years course nlikua nnasoma udsm na mume yupo moshi hata nikirudi likizo hata mume wangu aguse simu yangu hatujawahi kuwa na shida yoyote sms ya salam haiwezi abadan kuleta mgogoro katika ndoa unles muwe mna vingne mnavyo vipa sababu ya kuja kuzua ugomvi kama yeye huyo rafiki yako anatumiwa text ya mambo au habari in a normal chat hata mume awe na wivu ahawezi react ila akikuta text hi sweetheart,my dear,sijui mpenz kuna maneno ambayo watu hutumia haswa vyuo she shoul keep a line yeye ni mke wa mtu it seems amekua ana entertain ujinga toka akiwa chuo asimlaumu sana huyu mumewe maana she might be a source to the problem let her go down and ask for forgiveness na aache utoto yeye tayari ni mke wa mtu na mama wa familia asiilamu ndoa maana anaivunja kwa jeuri yake mwenywe ajirekebishe na amuombe mumewe msahamaha
 
Acha kushaur upumbavu,jiweke nafasi ya mtendwa(mwanaume)...hujui maumivu ya mapenzi haswa ndoa tulia,nyie ndo huwa mnapigwa risasi...hamfadhiliki,mnashindwa kujiheshimu...
we kima usinletee stress zako.
kondoo jalala we.
pita hv.
umeelewa nlichoandika?
risasi umeshindwa kumpiga mamako alipokuzaa ukiwa kichwa maji utanipiga mimi?
shwain!
 
Kwa mujibu wa imani zetu, wao ni mwili mmoja..!
Kama anaweza kulala nae uchi wa mnyama usiku mzima, simu ni kitu gani ili aifiche?
Sioni sababu mtu kuwa na total privacy ya simu kwa mwenza wake ili hali privacy ya uchi wake hana...!

Hahahaa haaaa

Maana yangu ni kusisitiza kuwa km ni tabia yake haiwez kuondolewa kwa kumpekua!

Btw tunarudi palepale kumtegemea Mungu kuna faida
 
we kima usinletee stress zako.
kondoo jalala we.
pita hv.
umeelewa nlichoandika?
risasi umeshindwa kumpiga mamako alipokuzaa ukiwa kichwa maji utanipiga mimi?
shwain!

Tatizo lako ni kuwa mama ako hajakuambia mimi ni baba ako ndo maana unaongea hivyo,hili ni kosa la mama ako siyo lako,nimekusamehe kwa sababu wewe ni kubwa jinga..
 
hey! Kwahyo ww bado unamuona mwanamke yuko sahihi na mkosaji n mwanaume?!

ukinisoma tena utagundua nilivyokiri ukosefu wa mke!
ninachoangalia ni aftermath
inatufaa nin kubebesha mioyo yetu nira tusizoweza kuzibeba?
wapi tunapata uhalali wa kuona katika ubinadamu wetu hakuna kukosewa?
nani alitwambia tunapokosea ni haki yetu kueleweka la kwa wengne hawako entitled kwa haki hyo?
ndoa tulizozitamani na kuziomba ukomo wake ni jaribu jepesi hv,merely sms ya salamu ultimatum yake iwe kutengana!?
kweli?
tutafika miles ipi tukipata jaribu kubwa zaid ya hili?
uwezo wetu kubeba na kuyaacha yatuumizayo uko wapi?
 
Sasa kama kakutwa na message kiburi cha nini? Kwani kujishusha sh ngapi? Angeomba msamaha yaishe...hamna mkate mgumu mbele ya Chai huyo mume angeelewa tu...

Sasa wakitengana ada atalipa nani? Kapewa mkopo au ndo mpango kando?

Teheeeee umenikosha na hakuna mkate mgumu mbele ya chai! Mie ningeuma meno ningepiga hadi goti nisamehewe nimalize shule. Mtaka cha uvunguni...
 
usemayo ni kweli kabisa tatizo wazazi wa kikeni wanamwambia kaa vp rudi tuu
hao watoto tutalea tuu
kasome asikubabaishe

Khaaaaa!
Kumbe ndo maana!

Aina ya wazazi wa hivi ni tatizo!
Kumbe ndo wanaompa kichwa
 
Tatizo lako ni kuwa mama ako hajakuambia mimi ni baba ako ndo maana unaongea hivyo,hili ni kosa la mama ako siyo lako,nimekusamehe kwa sababu wewe ni kubwa jinga..
uache kuvamia watu dogo.
yani uache kabisa!
hicho kitabu unachokifungua hutafika hat
ukurasa wa tatu!
sawa enh!
narudia pita hiv!
endelea kutoa point uwasaidie wenye mada!
 
Kwa mujibu wa imani zetu, wao ni mwili mmoja..!
Kama anaweza kulala nae uchi wa mnyama usiku mzima, simu ni kitu gani ili aifiche?
Sioni sababu mtu kuwa na total privacy ya simu kwa mwenza wake ili hali privacy ya uchi wake hana...!

Mie kwa comment tamu kama hizi ndo maana nakupendaga ujue...!
 
Hapo nimeanza kumuelewa..
Ndoa nyingi zinavunjwa na ndugu na wazazi...
Ndio maana saa nyingine ukijua tabia ya ndugu zako unatakiwa usiwaweke karibu na ndoa yako...

Ingawa kuna ndugu wenye busara pia..

Najua ikija kwenye elimu ndugu wengi huo utakuwa ushauri wao...

Nakumbuka dada yangu alipata chance ya kusoma Ph.D mume wake akawa hataki...wakati yeye pia ni Ph.D holder...

Dada angu akukubali akasema ntasoma tu utake usitake...ila akasema sitaenda soma nje ntasomea hapa hapa ntakuwa na joint registration na chuo cha US ili muda mwingi niwe TZ...

Mumewe akaenda kumshitaki kwa baba...

Baba angu akamsema sana dada yangu kuwa si vizuri kujiamulia mambo bila kupata baraka za mumeo...dada yangu mpaka alilia mbele ya baba siku hiyo...hakuamini...

Baada ya siku moja baba kampigia simu dada yangu anamwambia, 'wewe ulitegemea niseme nini kwa mkwe wangu...acha ujinga nenda shule...yeye mbona msomi'

Kweli dada yangu sasa ana Ph.D na ndoa bado anayo...lakini she was ready for anything kwani alimuona mumewe selfish ...ila na baba nae ndio aliua kabisa...

Afu tukienda kwa baba anatusimulia huku anacheka xxx(shemeji yetu) anachekesha sana; anaogopa mkewe kusoma kwa kuwa watalingana...

Hahahaa haaaa
Babaako kani fanya nicheke!
 
uache kuvamia watu dogo.
yani uache kabisa!
hicho kitabu unachokifungua hutafika hat
ukurasa wa tatu!
sawa enh!
narudia pita hiv!
endelea kutoa point uwasaidie wenye mada!

Asee mbona unawaka sana kijana?umeguswa na nini?hayo maneno ya kwenye kanga yanatoka wapi kwenda wapi?mbona unashindwa kusoma nyakati...
 
Umechakachua point yangu....suala sio kuanza mambo ukubwani bali ni kuanza kukutana na vishawishi ukubwani
hapa kuna tatizo zaid ya sms
kuna vitu vingiiií!
na ndo shida ya kukosa mawasiliano,cku yakifumuka kila mtu anawashangaa,ile like eh hiili tuu!
kumbe kuna mazagazaga kibao.
 
lakn hata ww uliniambia unakamtindo ka kupekua...
Au ulikutana na mpasuko wa moyo ukaamua kuacha?

Napekua ndio maana namshangaa huyo ambae hataki.. .nikikutana na mpasuko wa moyo nasonga mbele sikai tena hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom