Tafuta pisi Kali, mtongoze akikukubali muoe, muingilie akupe uzao, ukianza kuwaza mengine utajikuta 45 years huna mtoto wala mke..sababu ukitumia logic utaona almost kila mwanamke hafai ana ulterior motivesNani anaye taka kuishi na mwanamke asiye mpenda? Nani asiye taka kupendwa?
Otherwise uwe na ukaribu na Mungu akuoneshe mke sahihi..haya mambo kwa macho ya damu na nyama ni ngumu kuyapatia de Gunner