Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Nimejaribu ila nimeona siwezi, siwezi acha jf kirahisi hivyo, japo nilipanga kukaa nje kidogo. 😎 Haya nipe maelezo ya huyo..
hamna shida ila wakati ukiwadia utaondoka wew pekeako bila hata kusema bye",, hakuna maelekezo yoyote
 
hamna shida ila wakati ukiwadia utaondoka wew pekeako bila hata kusema bye",, hakuna maelekezo yoyote
Yes uko sahihi kabisa, ni ile fire unapotea hata bila wewe kuongea chochote. Yule mtoto tukllishindwana aisee
 
yeah ni kweli,, sema na wew haueleweki yani unafukuzia mtu ila bado unaleta nyuzi za kumchapa jirani mara umetembea na mdogo ake rafiki ako yani taflani,,, kukutetea ni ngumu
Hahahaha hizo ni stori tu, 😂

Nothing serious, mimi ni hopeless romantic mmoja ambaye nikimpenda msichana dunia nzima unajua kabisa
 
Back
Top Bottom