Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Huyo unayemjibu nahisi ndio mleta mada mwenyewe,hua anatumia nguvu kubwa sana kumtetea mleta mada,
Halafu unamkuta kwenye kila mada ya hicho kitoto anakitetea! au ni watu wanao fanana akili.
Mimi namjibu isanga family, wewe unamuongelea hziyech22
 
Nilishawahi kukuambia mleta uzi , vyovyote utakavyofanya humu wewe utaonekana ni KITUKO aka TAMBALA LA DEKI. Kaa kwa tulia tu maana ulishaingia kwa mbwembwe na drama nyingi 🤣

Walikuwemo wa kina Chief Godlove walikimbia humu na wewe unachoambulia humu ni za uso tu
Na wewe ndiye mshamba unaye dhani kila mtu ata buy kwenye undezi wako?

Nimekupiga spana kwenye mada hauja nijibu umekimbilia kutoa kijembe?

Hold yourself accountable achana na drama za kishamba
 
Kila siku unaaga humu ulifikiri una umuhimu sana humu?
Umejiona Pimbi tu ukarudisha vikalio vyako humu,
Watu wamesha kuona kua wewe ni hamnazo,unahitaji matibabu,unafungua uzi halafu unagombana na kila mchangiaji!

Lini tena una anzisha Uzi mwingine wa kutuaga?
Stick kwenye mada
 
Nilishawahi kukuambia mleta uzi , vyovyote utakavyofanya humu wewe utaonekana ni KITUKO aka TAMBALA LA DEKI. Kaa kwa tulia tu maana ulishaingia kwa mbwembwe na drama nyingi 🤣

Walikuwemo wa kina Chief Godlove walikimbia humu na wewe unachoambulia humu ni za uso tu
Mkuu,ChiefGodlove ndio huyo huyo,mwanzo alijiita Christopher5
 
Uzi wa kuaga alisema ''Sitanii ila nataka hii post iwe ndio funga kazi''

Halafu kanajirudisha humu na kujitetea!
Ni vichaa wenzake tu ndio watasema hakuaga kuondoka humu.
Wewe ni ndezi kama ndezi wengine na VAR zako uchwara
 
In my early twenties niliwahi kuunguzwa na demu ambaye nilimpa trust 100%, yale maumivu yalikuwa makali sana ,nafikiri it took me 5 years to recover, ila nikiangalia nyuma nashukuru kilichotokea
Ni kweli na inakusaidia kuyaona mahusiano katika lens kubwa. Watu wengi wanaishi kwa mazoea na wengine wanajua ukweli ila bado wanakaza mafuvu tu
 
Mbona atachoka sana aisee 🤣
Waru humu wanamuelekeza kutokana na uzoefu wao yeye naye huwa anajifanya mjuaji aisee anaweza akaumwa huyu au kukonda na dipreshen
Mkuu unajua kitu nilicho kipata based on this? Hasa hii ID yangu? Nimegundua namna bora na nzuri ya kuja kuwa the GOAT by 2040

Watu wengi bado wako so weak, in the mind especially, na inakwenda kuchukua that as an advantage. Sio kwa ubaya lakini
 
Yule juma mzanzibari alie pata Ajali ya PIKIPIKI, ukiona mke wake alivo mpambania mpaka pumzi ya mwisho, jamaa ana kata roho unasema kabisa hapa dogo juma alipata mke mashaallah.

Cha pili na cha mwisho oa olewa penda, pendwa na level zako tusifosi, juma alipenda level zake na akapendws kweli mpaka pumzi ya mwisho, kila nikiangalia clip za yule dada basi tu Kuna mademu hii dunia shida kumpata au kumtambua wapo tena wengi tu, shida mnapenda mademu mnaodai wasafi, wajanja, watoto wa mjini lazima kiwapulize mkuu.

Sina ndoto au malengo ya kuja kuoa star mwenzangu siwezi mana najua drama itakua sehemu ya maisha labda wastara Kwa marehemu sajuki, au aika na nahreel hai ndo waliotea hawa wengine waliobaki acha ninyamaze tu
 
Yule juma mzanzibari alie pata Ajali ya PIKIPIKI, ukiona mke wake alivo mpambania mpaka pumzi ya mwisho, jamaa ana kata roho unasema kabisa hapa dogo juma alipata mke mashaallah.

Cha pili na cha mwisho oa olewa penda, pendwa na level zako tusifosi, juma alipenda level zake na akapendws kweli mpaka pumzi ya mwisho, kila nikiangalia clip za yule dada basi tu Kuna mademu hii dunia shida kumpata au kumtambua wapo tena wengi tu, shida mnapenda mademu mnaodai wasafi, wajanja, watoto wa mjini lazima kiwapulize mkuu.

Sina ndoto au malengo ya kuja kuoa star mwenzangu siwezi mana najua drama itakua sehemu ya maisha labda wastara Kwa marehemu sajuki, au aika na nahreel hai ndo waliotea hawa wengine waliobaki acha ninyamaze tu
 
Kuna sehemu yeyote ile kwenye hiyo post yangu uliyo iquote nimeelezea jinsi nilivyo muelewa? unaweza kuweka hapa hayo maneno nilivyo sema jinsi nilivyo muelewa?

Kuna sehemu nimesema kua ujumbe haupo clear?

Jipe muda kwanza na usome Nyuzi zake zote za kuaga humu.
Wewe ume quote huo uzi wa mwisho na umesema imekuaje amerudi jf wakati yeye ajasema kwamba harudi tena mwisho wa siku yeye kurudi au kutorudi ni maisha yake binafsi jikiteni mada aliyoileta
 
Wewe ume quote huo uzi wa mwisho na umesema imekuaje amerudi jf wakati yeye ajasema kwamba harudi tena mwisho wa siku yeye kurudi au kutorudi ni maisha yake binafsi jikiteni mada aliyoileta
Buda hata usijisumbue, these mfs know the truth ila wanakalia kujibebisha kwangu wakidhani nitaendelea kuwapa energy. Anachekesha sana.
 
Back
Top Bottom