Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Sasa Mkuu foreigner si ndio balaa kabisa. Maana hao wanakufunga kabisa na kukufilisi na kukunyima watoto. Kama utakuwa unakumbuka kisa cha marehemu kaka yetu Le Mubebez Superbrand mzee wa Mambelez, Mambo yaliyomkuta
It depends na awareness yako mkuu
 
Yeah pata comparison first, reliably huwezi ukawa na noti moja uka conclude ni mbovu. Tafuta nyingine na nyingine huku ukiwa unajua cha kupima ( metrics), ndio uko nclude kwa kuona patterns zinazoeleza ubovu.....

mfano wake yeye amesikia kuna noti mbovu akaconclude noti zote ni mbovu which is wrong
nyie ndo redflag wenyewe sasa.
 
Mnhhhh

Ulifundishwa na mtu kumbe?! Kwa nini uliamini anachosema?! Hii noti feki ile halali, bila kudhani ile aliyosema halali ni mbovu na vice versa? Na kwamba yeye ndio yuko wrong?
Acha mambo yako,Tumezaliwa hatujui

Mkubwa akikupa sifa za Embe bivu lipo hivi na hivi utashindwa kumuelewa kisa yeye sio malaika.?

Haya nenda wewe katafute kiuno cha uhalali kabla hujageuka ngedele
 
Sana,me usipofahamu,unaweza sema ni first born 😁,,,,nilishapewa ka uspesho😁😁

Sasa maisha yale nilikuwa naumia niende sehemu siepewi/sipati nafasi.
First born unavyokuwa wadogo zako ndio wanaopata attention, so ukiwa mkubwa unaanza kuitafuta kwa nguvu.

Mimi nawashangaa wanaosema eti last born ndio anapenda attention
 
Back
Top Bottom