Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Mbona kama Mkuu unataka kukataa kona halafu unaenda kukubali penati? Hao wanawake wa kigeni hujasikoa wamewatia umasikini wachezaji kadhaa wa Africa waliotoboa Ulaya na kurudi wakiwa masikini wa kutupwa.

Hadi pale mwamba Achraf Hakimi kubuka Man of the Match baadye ya kuponea chupuchupu kurudishwa kwenye umasikini baada ya kutumia mbinu ya kimafia kuandika mali zake zote kwa majina ya mama yake na binti wa kizungu kutoka kapa.
 
True but they differ in behaviour
Huwezi aamini mpaka wanaojiuza wanaringa kuna siku nimeingia kuchagua maeneo nikakuta kamanzi kakawaida tu hivi sema alivyokua amekaa chini nikawa nimemuelewa nikamfuata piga sound nina bei yangu hio akiruka siendi nae eeh manzi kapanda dau zaidi ya kima changu nikasema kengewee wakati nje nimeacha mamanzi yana matako ya kufa mtu, potelea nikarudi nyuma nikachukua manzi moja ina bonge ya kalio hua naipigaga sema siku hio nilitaka kubadirisha mboga nikaichukua nikaenda kuipiga kwa hasira mpaka ikawa inatoa milio ya kiswaswadu kikiwa kinaita
 
Sasa Mkuu foreigner si ndio balaa kabisa. Maana hao wanakufunga kabisa na kukufilisi na kukunyima watoto. Kama utakuwa unakumbuka kisa cha marehemu kaka yetu Le Mubebez Superbrand mzee wa Mambelez, Mambo yaliyomkuta
 
Mbona kama Mkuu unataka kukataa kona halafu unaenda kukubali penati? Hao wanawake wa kigeni hujasikoa wamewatia umasikini wachezaji kadhaa wa Africa waliotoboa Ulaya na kurudi wakiwa masikini wa kutupwa.

Hadi pale mwamba Achraf Hakimi kubuka Man of the Match baadye ya kuponea chupuchupu kurudishwa kwenye umasikini baada ya kutumia mbinu ya kimafia kuandika mali zake zote kwa majina ya mama yake na binti wa kizungu kutoka kapa.
Nilisha sema wanapigwa ni wajinga tu, na malimbukeni. Ila wazungu huwa anatoa signal mapema na hata wachezaji wenyewe huwa wanajua kabisa ndo maana huwezi kuta mchezajibanaye jielewa anaweka mahusiano yake wazi,
 
Back
Top Bottom