de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 13,095
- 25,727
Kuna kisa kimetokea manyuzi tu na kimenifanya lile wazo langu la kuoa mwanamke asiye mwafrika kuzidi kukomaa... (Sidhani kama Nitakuja kuoa mbongo au mwafrika)
Unajua nini, ukweli usemwe tu wanawake wa huku Africa ni vichomi. Sio kwa ubaya ila ni kitu ambacho kinazidi kudhihirika..
Ni hivi..
Kuna mwanangu mmoja alikuwa anadate na manzi toka tuko chuoni, ni walikuwa wameivana mpka tukawa hatuna shaka kuwa watatemana.
Binafsi kwa experience na kuwajua mademu wa kibongo kuna pattern moja iliyo kuwa inajirudia.. Huwa ni hawawi direct toka mwanzo ila sisi wanaume huwa tumajifanya Hatuoni redlfags mpaka kitukute ndo macho yafumbuke.
Sasa huyu mshakaji nilikuwa naona kawa blinded kiana. Japo nilisense tu maana sikuwahi kufatilia maisha yao, ila just by looking that girl alikuwa kicheche... Kimuonekano tu unajua hapa hakuna keeper.
Sasa mwanangu nilikuwa napenda kumuasa Kuhusiana na wanawake wa kibongo walivyo, hawana misingi ya kudumu kwenye mahusiano, maana kwanza culture inawabeba na pia mwanamke sio kiumbe anaye kuwa monitored sana because they're considered weak.
Mshkaji nilikuwa na mpanga, Achana na kuinvest mazima mpaka ukafa kwa huyo demu ipo siku utapatwa na jambo hautasahau. Jamaa anaishia kuniambia mimi ni overthinker na niko delusional.
Eti kama ana kupenda hawezi kukuacha na huku basically nilivyo kuwa naona jamaa ndo alikuwa anajitoa karibuni asilimia zote kwa yule manzi, sasa walimaliza chuo jamaa akapata mchongo mkoa x na walikuwa wameshapanga,, mchumba na sebule so mambo yalikuwa mwake kabisa.
Ila cha kushangaza hata sijui chanzo nini jamaa anakuja kuniambia yule manzi hataki tena, manzi kapata jamaa mwingine na anacho singizia ni kuwa wazazi wake ndo walimlazimsha aolewe na yule jamaa mwingine... Hakuna kitu kama hicho maana jamaa before walisha enda mpka kwao na mama yake alikuwa anajua kuhusu Mshkaji kwa maelezo yake...
But cha kushangaza ni kuwa a ako enda kuolewa yule demu ni jamaa alisha fiwa na mke wake, ni anafanya kazi migodini. So demu kafata maokoto. Ila cha kushangaza ni kuwa in all that time jamaa anadate na mpaka wakapanga kuanza kuishi pamoja, demu hakuonesha dalili ya kuja ku msaliti jamaa.
Jamaa kawa kama zuzu, nuru imetoka hana pa kushika, alifika hatua mpaka akawa suicidal..
Ila, nilikuja nikamkumbusha kipindi namwelezea kuhusu hawa wanawake wasio jua wanataka nini, na yeye kuniita overthinker na delusional...
Nilikuwa Unalijua hilo, na mpka leo pattern ni ile ile tu... Wanawake wa huku ni diggers wanajificha na wasiseme au kuwa direct na kile anachokitaka mpaka option nitakapo kuja mbele yao ndo true colors zinaonekana
Jamaa depression anayo ipitia ni ile chronic ambayo mtu analala kitandani asubuhi mpaka jioni. Ila yote hayo nilikuwa namuasa hakunisikia..
Culture na utamaduni zetu ni za kuendeleza heshima ya Uoga..na ndio walionayo wanwake wa kibongo na Africa kwa ujumla.
Wanawake wa kimatumbi ni wajinga, (sio wote) kwa sababu huwa wanajua kabisa wanacho kifanya na how kitamuumiza mwanaume but wanafanya kwa sababu ya survival.. Ni mfumo wa kukaririhshwa kuwa maisha mazuri ndo safety. Na heshima kwa mwenye nazo ndo kitu pekee kitakacho mfanya apendeke.
Mwanamke wa kiafrica anaweza asiwe a nakupenda na akaishi na wewe kwenye ndoa kwa miaka 30 kwa sababu hama pa kwenda. Na huo ndio ujinga ninao umaanisha hapa. Wanakufakia love, ili apate anacho kitaka..
Kinacho nifanya niseme haya, kuna siku nilikuwa nasafiri nikiwa kwenye bus, kulikuwa na wanawake nyuma walikuwa wanadiscuss, na mmoja alikuwa anamwambia mwenzake kuwa yuko kwenye ndoa kwasababu wanasubiri mwanaume astaafu then, ampige cha juu na aombe talaka. Mwenzake akawa anamwambia subiri tu huyo mubaba wako afe then ukarithi zile mali.
Ilinifanya Niumie how mwanaume unachomwa jua mchana kutwa then huyo mwanamke nyumbani a nawaza namna ya ku kutumia tu.
Wazungu kila mtu yuko responsible na hata kama ni gold digger anakuwa kabisa anaonekana so mwanaume ukiwiwa unaingia kupigwa ili upate mzigo. Ila mambo ya watu sijui kuliana timing sijui huyu afe, huyu akisha astaafu ni mambo ya wanawake wajinga wa huku Africa.
Na jamii I aliona hili swala kama kawaida tu, ila ni kitu kibaya na cha ajabu ambacho wanaume wasio na uelewa wanapigwa bila wao kulitambua hilo.
Wanaume kaeni chonjo, the system and game ain't in your favor...
Nime leta kisa hiki kwa sababu nataka isjirudie, hakikisha kuna mutual care baina yako, ukiona redflag ukaifumbia macho ndugu yangu yatakukuta yaliyo mkuta jamaa na utajiona fala...
Unajua nini, ukweli usemwe tu wanawake wa huku Africa ni vichomi. Sio kwa ubaya ila ni kitu ambacho kinazidi kudhihirika..
Ni hivi..
Kuna mwanangu mmoja alikuwa anadate na manzi toka tuko chuoni, ni walikuwa wameivana mpka tukawa hatuna shaka kuwa watatemana.
Binafsi kwa experience na kuwajua mademu wa kibongo kuna pattern moja iliyo kuwa inajirudia.. Huwa ni hawawi direct toka mwanzo ila sisi wanaume huwa tumajifanya Hatuoni redlfags mpaka kitukute ndo macho yafumbuke.
Sasa huyu mshakaji nilikuwa naona kawa blinded kiana. Japo nilisense tu maana sikuwahi kufatilia maisha yao, ila just by looking that girl alikuwa kicheche... Kimuonekano tu unajua hapa hakuna keeper.
Sasa mwanangu nilikuwa napenda kumuasa Kuhusiana na wanawake wa kibongo walivyo, hawana misingi ya kudumu kwenye mahusiano, maana kwanza culture inawabeba na pia mwanamke sio kiumbe anaye kuwa monitored sana because they're considered weak.
Mshkaji nilikuwa na mpanga, Achana na kuinvest mazima mpaka ukafa kwa huyo demu ipo siku utapatwa na jambo hautasahau. Jamaa anaishia kuniambia mimi ni overthinker na niko delusional.
Eti kama ana kupenda hawezi kukuacha na huku basically nilivyo kuwa naona jamaa ndo alikuwa anajitoa karibuni asilimia zote kwa yule manzi, sasa walimaliza chuo jamaa akapata mchongo mkoa x na walikuwa wameshapanga,, mchumba na sebule so mambo yalikuwa mwake kabisa.
Ila cha kushangaza hata sijui chanzo nini jamaa anakuja kuniambia yule manzi hataki tena, manzi kapata jamaa mwingine na anacho singizia ni kuwa wazazi wake ndo walimlazimsha aolewe na yule jamaa mwingine... Hakuna kitu kama hicho maana jamaa before walisha enda mpka kwao na mama yake alikuwa anajua kuhusu Mshkaji kwa maelezo yake...
But cha kushangaza ni kuwa a ako enda kuolewa yule demu ni jamaa alisha fiwa na mke wake, ni anafanya kazi migodini. So demu kafata maokoto. Ila cha kushangaza ni kuwa in all that time jamaa anadate na mpaka wakapanga kuanza kuishi pamoja, demu hakuonesha dalili ya kuja ku msaliti jamaa.
Jamaa kawa kama zuzu, nuru imetoka hana pa kushika, alifika hatua mpaka akawa suicidal..
Ila, nilikuja nikamkumbusha kipindi namwelezea kuhusu hawa wanawake wasio jua wanataka nini, na yeye kuniita overthinker na delusional...
Nilikuwa Unalijua hilo, na mpka leo pattern ni ile ile tu... Wanawake wa huku ni diggers wanajificha na wasiseme au kuwa direct na kile anachokitaka mpaka option nitakapo kuja mbele yao ndo true colors zinaonekana
Jamaa depression anayo ipitia ni ile chronic ambayo mtu analala kitandani asubuhi mpaka jioni. Ila yote hayo nilikuwa namuasa hakunisikia..
Culture na utamaduni zetu ni za kuendeleza heshima ya Uoga..na ndio walionayo wanwake wa kibongo na Africa kwa ujumla.
Wanawake wa kimatumbi ni wajinga, (sio wote) kwa sababu huwa wanajua kabisa wanacho kifanya na how kitamuumiza mwanaume but wanafanya kwa sababu ya survival.. Ni mfumo wa kukaririhshwa kuwa maisha mazuri ndo safety. Na heshima kwa mwenye nazo ndo kitu pekee kitakacho mfanya apendeke.
Mwanamke wa kiafrica anaweza asiwe a nakupenda na akaishi na wewe kwenye ndoa kwa miaka 30 kwa sababu hama pa kwenda. Na huo ndio ujinga ninao umaanisha hapa. Wanakufakia love, ili apate anacho kitaka..
Kinacho nifanya niseme haya, kuna siku nilikuwa nasafiri nikiwa kwenye bus, kulikuwa na wanawake nyuma walikuwa wanadiscuss, na mmoja alikuwa anamwambia mwenzake kuwa yuko kwenye ndoa kwasababu wanasubiri mwanaume astaafu then, ampige cha juu na aombe talaka. Mwenzake akawa anamwambia subiri tu huyo mubaba wako afe then ukarithi zile mali.
Ilinifanya Niumie how mwanaume unachomwa jua mchana kutwa then huyo mwanamke nyumbani a nawaza namna ya ku kutumia tu.
Wazungu kila mtu yuko responsible na hata kama ni gold digger anakuwa kabisa anaonekana so mwanaume ukiwiwa unaingia kupigwa ili upate mzigo. Ila mambo ya watu sijui kuliana timing sijui huyu afe, huyu akisha astaafu ni mambo ya wanawake wajinga wa huku Africa.
Na jamii I aliona hili swala kama kawaida tu, ila ni kitu kibaya na cha ajabu ambacho wanaume wasio na uelewa wanapigwa bila wao kulitambua hilo.
Wanaume kaeni chonjo, the system and game ain't in your favor...
Nime leta kisa hiki kwa sababu nataka isjirudie, hakikisha kuna mutual care baina yako, ukiona redflag ukaifumbia macho ndugu yangu yatakukuta yaliyo mkuta jamaa na utajiona fala...