Wana Abuse vibaya sana huo mfumoWanawake wanaitumia feminism kwa manufaa yao wenyewe
Maumivu makali😁,ni vile unyooke uwe mfano wa kuogwa.Ila inabidi uwe example baa mkombozi wa familia at the same time.
Ni kazi kweli kweli, ila mtu anaweza kudhani tunadeka tu, ila trust me maumivu anayo pit first born Anayajua yeye tu
Yaani😁Ndo ninacho kifanya wewe huoni?