Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Hapa naongea na wewe niko somewhere in Asia nikitokea somewhere in Europe so I know what Iam talking about coz mashosti zangu ni wa zungu.Mentallity yao toward men ukilinganisha na ya wanawake wa kibongo ina tofauti ktk angle fulani ila ina mfanano ktk angle fulani.
Hauwezi kuja na hii mentality na uongo wa nje nje kujaribu kuni manipulate na kudanganya jukwaa kizbe namna hiyo..

Na issue sio kwamba nakimbia, ninachagua upande usio na vigeu geu, usio na watu wenye lack mindset. Najua ulitaka niingie mkenge eti wanawake wote wako vile vile.

Uko sahihi, katika angle nyingine ila katika dhana ya mahusiano mmezidiwa parefu kinyama.
 
Muulize emmanuel eboue wa arsenal kuhusu kupenda foreigners, hakuna sehemu taasisi ya ndoa inaheshimiwa kama africa especially Tanzania, zunguruka dunia nzima utakuja kuniambia
Shida hiyo ipo kwa watu maarufu na wenye hela sasa mtoa mada ana hela gani mwanamke wa kawaida wa kizungu amfilisi ?
 
Kuna Mapigo hao wa Nje hawawezi..Kuna mmoja nili muambia kuhusu (Popo kanyea Mbingu) Hajui Kuifinyia kwa ndani pia hajui..

Bora tu hawa hawa wa kwetu
 
Being conventional does not mean it is okay, ni sawa na makabila yanayo jimilikisha wanawake, wanadhani ni sahihi kimila ila ni unyanyasaji wa kijinsia.
Ni unyanyasaji kwa muono wako, kama wao wanaishi na hakuna mahali wamelalamika, maisha yao yanaenda, sioni shida.

Karibu tena jukwaani bwana Da Ganna😆😆
 
Mimi nimesoma vizuri huu Uzi wake wewe ndio umemuelewa vibaya
Kuna sehemu yeyote ile kwenye hiyo post yangu uliyo iquote nimeelezea jinsi nilivyo muelewa? unaweza kuweka hapa hayo maneno nilivyo sema jinsi nilivyo muelewa?
yeye kasema atakuwa kando kwa muda na hata akirudi hautakuwa active kama mwanzo mbona ujumbe wake upo very clear
Kuna sehemu nimesema kua ujumbe haupo clear?

Jipe muda kwanza na usome Nyuzi zake zote za kuaga humu.
 
In my early twenties niliwahi kuunguzwa na demu ambaye nilimpa trust 100%, yale maumivu yalikuwa makali sana ,nafikiri it took me 5 years to recover, ila nikiangalia nyuma nashukuru kilichotokea
Alikuchoma Moto? Ulifanya ukorofi gani mkuu? Usiseme alikuchoma Tu bila sababu
 
Kuna sehemu yeyote ile kwenye hiyo post yangu uliyo iquote nimeelezea jinsi nilivyo muelewa? unaweza kuweka hapa hayo maneno nilivyo sema jinsi nilivyo muelewa?

Kuna sehemu nimesema kua ujumbe haupo clear?

Jipe muda kwanza na usome Nyuzi zake zote za kuaga humu.
Y'all haters ni navyo waona saiz ni kama vituko tu😂😂 jamaa shusha VAR za kutosha leo😎
 
Ni unyanyasaji kwa muono wako, kama wao wanaishi na hakuna mahali wamelalamika, maisha yao yanaenda, sioni shida.

Karibu tena jukwaani bwana Da Ganna😆😆
Mkuu unaleta kicheko kwenye ukweli Mchungu?

Nimekaribia nikiwa in the higher level😎
 
Walijibu au walikaa kimya kama baadhi ya wadau wanavyotaka App ya zamani irudi..
Hawakumjibu! Akaja na uzi wa kumchamba Melo kua Jf haina impact yoyote kwenye jamii.
 
Y'all haters ni navyo waona saiz ni kama vituko tu😂😂 jamaa shusha VAR za kutosha leo😎
Kila siku unaaga humu ulifikiri una umuhimu sana humu?
Umejiona Pimbi tu ukarudisha vikalio vyako humu,
Watu wamesha kuona kua wewe ni hamnazo,unahitaji matibabu,unafungua uzi halafu unagombana na kila mchangiaji!

Lini tena una anzisha Uzi mwingine wa kutuaga?
 
Tafuta uzoefu wa watu walioishi abroad au ambao wapo abroad, watakupa ukweli wa mtu mweupe. Wengine tulibahatika kuishi nao kidogo, tabia zao na akili zao ni ngumu kuziishi.

Ila kama unaweza unajiamini na unajitosheleza jaribu.

Hata hivyo karibu tena, naona ni jf ni kama vile upo ugenini, kila siku unaaga unaondoka, wenye nyumba wanaomba kila siku uondoke maana unawatia hasara tu, ila huondoki.
But kwenye ule Uzi wake alisema nimnukuu "Nitakuwa kando kwa muda" na akasema pia hata nikijakuingia tena haitakuwa active kama mwanzo sijaona sehemu kasema harudi tena unamlinga maneno mbona kiswahili ni lugha nyepesi sijui hamkumuelewa
 
Wanaojibu huu uzi kwa mihemko na kutaka ahueni mnajisumbua tu... Kila kitu kiko wazi na wabongo wengi(wanaojielewa) wa Nalitambua hili...

Sikusema wanawake wote ila niliongea katika context ya majority, niliongelea kitu ambacho kuna jirudia rudia sana. Mzizi wake unarudi deep kabisa kwenye adaptation ya culture za wazungu kwenye mifumo ya kizungu. Ndo maana wanawake wanaishia kuwa parasites because they want independence but cannot be independent.
 
Hawakumjibu! Akaja na uzi wa kumchamba Melo kua Jf haina impact yoyote kwenye jamii.
Huyo unayemjibu nahisi ndio mleta mada mwenyewe,hua anatumia nguvu kubwa sana kumtetea mleta mada,
Halafu unamkuta kwenye kila mada ya hicho kitoto anakitetea! au ni watu wanao fanana akili.
 
Nilishawahi kukuambia mleta uzi , vyovyote utakavyofanya humu wewe utaonekana ni KITUKO aka TAMBALA LA DEKI. Kaa kwa tulia tu maana ulishaingia kwa mbwembwe na drama nyingi 🤣

Walikuwemo wa kina Chief Godlove walikimbia humu na wewe unachoambulia humu ni za uso tu
 
But kwenye ule Uzi wake alisema nimnukuu "Nitakuwa kando kwa muda" na akasema pia hata nikijakuingia tena haitakuwa active kama mwanzo sijaona sehemu kasema harudi tena unamlinga maneno mbona kiswahili ni lugha nyepesi sijui hamkumuelewa
Mkuu shida ni watu wanapenda attention kwenye mambo ya kijinga, sometimes inabidi Usiwa jibu ili waje kujiona kuwa ni wao ndio wajinga.

Wanafeed kwenye pumba tu nothing serious
 
Nilishawahi kukuambia mleta uzi , vyovyote utakavyofanya humu wewe utaonekana ni KITUKO aka TAMBALA LA DEKI. Kaa kwa tulia tu maana ulishaingia kwa mbwembwe na drama nyingi 🤣

Walikuwemo wa kina Chief Godlove walikimbia humu na wewe unachoambulia humu ni za uso tu
Sasa chief godlove ndo huyu de gunner kama ulikua hujui
 
Back
Top Bottom