Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

Wewe ume quote huo uzi wa mwisho na umesema imekuaje amerudi jf wakati yeye ajasema kwamba harudi tena mwisho wa siku yeye kurudi au kutorudi ni maisha yake binafsi jikiteni mada aliyoileta
Hivi unajielewa kweli wewe? kwenye comment yangu #18 uliyoiquote kuna jambo lolote nimesema zaidi ya kupandisha huo uzi wake tu?

Wewe ni mchepuko wa huyo mleta mada? mbona kama hasira zako unaniletea mimi?
 
Huyu jamaa ameongea kitu ambacho kinaukweli 100% anaebisha arudi kwenye biblia mwanamke ni kiumbe dhaifu mda wowote anakubadilikia mimi kuna fadha mmoja aliniambia kijana ukija kuona ukazaa na mwanamke watoto watatu au wawili hapo anza kijitenga kabisa kwasababu mapenzi kwako hayapo na kinachofaata atatamani ukufe tu kama anajiweza.
It is so sad ila huyo fadha aliona mbali zaid, japo hakujua the mechanics behind the trouble na nimejaribu kugusia kwenye hii mada. Na watu wengi wanachimbia vichwa chini kujaribu kukimbia ukweli
 
Mimi namjibu isanga family, wewe unamuongelea hziyech22
Ndio na mimi namuongelea huyo huyo Isanga,
Angalia hata comment yako #113 umemjibu huyo Isanga ndio comment niliyoiquote,
Huyo uliyemtaja wewe wala hahusiki kwenye hiyo comment yangu.
 
Hivi unajielewa kweli wewe? kwenye comment yangu #18 uliyoiquote kuna jambo lolote nimesema zaidi ya kupandisha huo uzi wake tu?

Wewe ni mchepuko wa huyo mleta mada? mbona kama hasira zako unaniletea mimi?
Kulikuwa na haja gani ku screenshot Uzi wake ikawa humaanishi ninachokisema maana hiyo Jf VAR ni kufanikiwa uongo wake
 
Hauwezi kuja na hii mentality na uongo wa nje nje kujaribu kuni manipulate na kudanganya jukwaa kizbe namna hiyo..

Na issue sio kwamba nakimbia, ninachagua upande usio na vigeu geu, usio na watu wenye lack mindset. Najua ulitaka niingie mkenge eti wanawake wote wako vile vile.

Uko sahihi, katika angle nyingine ila katika dhana ya mahusiano mmezidiwa parefu kinyama.
Itsya life dogo.
Leta huyo wifi mthungu si hatuna shida.Tutatamba nae.

Ila amini nakwambia go east go west mwajuma ndala ndefu binti kausha damu hata pale manhatan yupo.
 
UNIKOME MPUUZI WEWE, nimekuuliza naona limekuingia unabaki kusema manipulations, nikufanyie manipulations wewe kitoto cha 2000 ili iweje, nimekuuliza kitu valid na wote wanaona hilo swali ni valid . Sitakujibu mashudu yako popote ukiandika, nilijua ni MPUUZI ila sikujua kwa kiwango hiki kuku we!
Imekuaje Tena jamani ???si tulikubaliana hapa jukwaani amni na upendo vitawale.🤣
 
Itsya life dogo.
Leta huyo wifi mthungu si hatuna shida.Tutatamba nae.

Ila amini nakwambia go east go west mwajuma ndala ndefu binti kausha damu hata pale manhatan yupo.
Wapo ndio sijakataa nilicho sema ni probability ya kumpata kwa wenzetu ni ndogo sana, na sio kwamba huko hawapo wapo wengi sana.

I will surely marry an outsider
 
Tatizo sio rahisi kujua au kuamini unayempenda anaweza kukugeuka 360😁, na kuoa foreigners sio solution wote sawa tuu ingawaje wenzetu wako open sana na wanachofanya
Nakazia hapa.
Tena bora wa kiafrika akikuchoka anakuacha kimyakimya anakimbilia mwanaume mwingine na wewe unavuta mwanamke mwingine.
Mwanamke wa ulaya akikuchoka anakuburuza mahakamani anachukua kila kitu kilicho chako kuanzia assets hadi akaunti zako za benki zinachukuliwa anakuacha kama ulivyozaliwa unabaki chokoraa hata nguvu ya kupata mwanamke mwingine hutokuwa nayo.
Kwa hiyo Afrika bado kuna unafuu mara 100 kuhusu ishu ya mahusiano.
Na kitu kingine ukioa Ulaya jinsi utakavyopelekeshwa wewe ndio unakuwa umeolewa,baada ya kutoka kazini anakwambia wahi nyumbani ukapike,hakikisha nyumba iwe safi,ukimaliza hizo kazi za ndani ningoje sebuleni usitoke kwenda popote hadi nirudi.
 
Nakazia hapa.
Tena bora wa kiafrika akikuchoka anakuacha kimyakimya anakimbilia mwanaume mwingine na wewe unavuta mwanaume mwingine.
Mwanamke wa ulaya akikuchoka anakuburuza mahakamani anachukua kila kitu kilicho chako kuanzia assets hadi akaunti zako za benki zinachukuliwa anakuacha kama ulivyozaliwa unabaki chokoraa hata nguvu ya kupata mwanamke mwingine hutokuwa nayo.
Kwa hiyo Afrika bado kuna unafuu mara 100 kuhusu ishu ya mahusiano.
Na kitu kingine ukioa Ulaya jinsi utakavyopelekeshwa wewe ndio unakuwa umeolewa,baada ya kutoka kazini anakwambia wahi nyumbani ukapike,hakikisha nyumba iwe safi,ukimaliza hizo kazi za ndani ningoje sebuleni usitoke kwenda popote hadi nirudi.
Wanao lizagwa hasa hasa ni macelebrity maana huwa wanakuwa na ulimbukeni sana, huwa wanaoa right partner ila wanaishia kuruka na mademu wa nje na kuwafanya wake zao ku file divorce

Angalia ndoa za watu wanaojielewa zinavyo dumu.
 
Kulikuwa na haja gani ku screenshot Uzi wake ikawa humaanishi ninachokisema maana hiyo Jf VAR ni kufanikiwa uongo wake
Hivi unajua maana ya screenshot? ni wapi mimi nimetuma screenshot?
Kwahiyo wewe umejipa kazi humu ya kutafsiri malengo ya post za watu kwa tafsiri unazo zitaka wewe tu sio?

Kwa akili hizi ndio maana kumbe ulibase zaidi kwenye uchawa wa WCB coz hizo post hazihitaji akili kubwa.
 
Ushauri wangu,oa mwanamke mwenye kipato chake.Huyo akisema nakupenda atamaanisha ila sisi tunaotumia hela ya mboga kuchezea vikoba ndo hao usiowataka.

Kilio cha wanaume wengi humu ni sababu wanatafuta upendo kutoka kwa wanawake, ambao ni mgumu kuupata kwa hii dunia ya leo..Yani wanategemea kiasi kile kile cha upendo na kujitoa wanachotoa kwa wake zao, na wao wapate kile kile au kinachokaribiana na kile prida
 
Kuna washua walioa Wanawake kutoka Urusi miaka ile ya Utawala wa Mwalimu

Lakini baada ya muda ndoa ziliingia kwenye migogoro ya talaka Kisha wale Washua walirudi Bongo wakiwa empty pocketed huku watoto wakibaki Ulaya kwa Mama zao wa Kizungu

Ninachoweza kusema, kwenye maslahi Wanawake wote wanafanana Dunia nzima

Tafuta mwanamke mtakayependa naye, muanze maisha
 
Wapo ndio sijakataa nilicho sema ni probability ya kumpata kwa wenzetu ni ndogo sana, na sio kwamba huko hawapo wapo wengi sana.

I will surely marry an outsider
Even if you marry an allien tutampokea na kumpenda wifi yetu huyo ila amini nakwambia wanaofake love for money wamejaa kote duniani na wenye mapenzi ya kweli wapo kote duniani.
 
Kilio cha wanaume wengi humu ni sababu wanatafuta upendo kutoka kwa wanawake, ambao ni mgumu kuupata kwa hii dunia ya leo..Yani wanategemea kiasi kile kile cha upendo na kujitoa wanachotoa kwa wake zao, na wao wapate kile kile au kinachokaribiana na kile prida
Nani anaye taka kuishi na mwanamke asiye mpenda? Nani asiye taka kupendwa?
 
Back
Top Bottom