90sgeneration
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 275
- 375
Wakuu habari,
Kama kichwa cha habari kinavosema. Kuna wale watu humu ndani ambao wana mali zao na vitu vyao wangependa kuuza ili wabadirishe wanunue vingine, au wangependa kuuza ili waviondoe tu visijaze nafasi au havina matumizi tena au wanashida ya kifedha, basi karibu nikisaidie kuviuza.
Iwe ni simu, TV, Fridge, computer, gari, nyumba, viatu, bags, majiko ya gas na umeme, vifaa vya umeme, vifaa vya ofisini, Ac, vifaa vya jikoni, vyombo, na vingine vingi, niletee nikuuzie.
NOTE: Vitu viwe used, au hata kama ni vipya basi vile ambavyo bei yake haitawasumbua watu wa kipato cha chini na kati.
Nafanya businesss ya vitu used na naomba support yenu. Nitext whatspap au nitumie ujumbe au nipigie: 0752329591.
Karibuni.
Kama kichwa cha habari kinavosema. Kuna wale watu humu ndani ambao wana mali zao na vitu vyao wangependa kuuza ili wabadirishe wanunue vingine, au wangependa kuuza ili waviondoe tu visijaze nafasi au havina matumizi tena au wanashida ya kifedha, basi karibu nikisaidie kuviuza.
Iwe ni simu, TV, Fridge, computer, gari, nyumba, viatu, bags, majiko ya gas na umeme, vifaa vya umeme, vifaa vya ofisini, Ac, vifaa vya jikoni, vyombo, na vingine vingi, niletee nikuuzie.
NOTE: Vitu viwe used, au hata kama ni vipya basi vile ambavyo bei yake haitawasumbua watu wa kipato cha chini na kati.
Nafanya businesss ya vitu used na naomba support yenu. Nitext whatspap au nitumie ujumbe au nipigie: 0752329591.
Karibuni.