min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,242
- 167,370
Hahahaha hapo unyama na lazima utoe siku za mapumziko ili kufanya zoezi la kupunguza sumu miwili na kuzipa figo nafasi angalau tuishi kidogo 😅Hapana mi najijua kuna watu wamepinda ni hatari anaweza kukesha anakunywa sijui huwa wananyongo gani!.. mi simple sana masaa yangu mawili tosha kabisa na inategemea nakunywa nini kuna vinywaji vyengine hayo masaa mawili ni ushazima....😂😂