Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

Duh kweli duniani hatufanani wengine tunaacha wengine wanaomba kushauriwa namna ya kuanza.

By the way mi sikushauri uanze kunywa pombe hii ni kutokana na madhara iliyonisababishia mpaka kuamua kuacha ni kama ifuatavyo:

1. MEMORY LOSS (Short term) kabla ya kuanza tungi nilikuwa kipanga sana, yaani kusoma ni mara Moja kurudia ni siku ya mtihani, nilikuwa na kipaji cha Photographic memory nikiangalia namba ya simu mara Moja sirudii ishanata kichwani, saivi nimekuwa bichwa zito vitu nilivyokuwa naweza kukueleza mpaka nakupa mifano, now lazima nigoogle, kwenda kazini nimesahau simu geto kawaida, kutoka geto nimeacha funguo mlangoni na sijafunga mara kibao inanikuta na sijalewa ila ni long term effects.

2.PROPERTY LOSS Katika unywaji nishapoteza simu, wallet yenye kitita + ID, laptop, begi la kusafiria nshasahau kwenye basi ndo ikaisha hivyo

3.MARADHI vidonda vya tumbo kwenda kupima in general nikaambiwa mapafu yamejaa maji, Figo Zina kiwango kikubwa cha Nini sijui 125 nini wanajua madokta nikaambiwa ikizidi Figo zinafeli, na pia nikaambiwa nianze clinic ya ini japo walisema nikiacha pombe ini linatabia ya kujirecover lenyewe kama halijawa chronic,
ila nilivyopona ulcers nikarudi kwenye pombe clinic sikwenda almost 1 year umepita,
ila Sasa hivi ni kinywa siku mbili siku ya tatu lazima niumwe tumbo mpaka natembea nainama, acid reflux na kukosa hamu ya kula mikono inatetemeka kijiko cha supu mpaka kifike mdomoni supu yote imemwagika.

4.HAMU YA NGONO nikinywa kivyovyote vile lazima nitafute kipoozeo na ninaruka naye bila Kinga ujasiri wa pombe huo.

5. AJALI hii haihitaji maelezo, Kuna kukutana na vibaka n.k mambo ni mengi.

Ila kubwa ni AFYA ya MWILI na akili baada ya kujitathimini faida na hasara ninayopata, nimeamua niache kwa hiari sio mpaka kukutana na dokta Tena.

Now napiga mazoezi mlima nakunywa maji bahari mixer Meditation, hata mwenyewe naona akili inaanza kufunguka.
By the way hizi effects hutozipata Leo Wala kesho but at the long run pombe hajawahi kumuacha mtu salama, na kuanza ni rahisi sana ila kuacha kama hujapata janga la kukushtua ubongo factory reset asee ni ngumu sometimes haiwezekani.

Au labda mizimu yetu haipatani na hii makitu, maybe 🤔

~Ndimi mlevi mstaafu.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    63.1 KB · Views: 12
Duh kweli duniani hatufanani wengine tunaacha wengine wanaomba kushauriwa namna ya kuanza.

By the way mi sikushauri uanze kunywa pombe hii ni kutokana na madhara iliyonisababishia mpaka kuamua kuacha ni kama ifuatavyo:

1. MEMORY LOSS (Short term) kabla ya kuanza tungi nilikuwa kipanga sana, yaani kusoma ni mara Moja kurudia ni siku ya mtihani, nilikuwa na kipaji cha Photographic memory nikiangalia namba ya simu mara Moja sirudii ishanata kichwani, saivi nimekuwa bichwa zito vitu nilivyokuwa naweza kukueleza mpaka nakupa mifano, now lazima nigoogle, kwenda kazini nimesahau simu geto kawaida, kutoka geto nimeacha funguo mlangoni na sijafunga mara kibao inanikuta na sijalewa ila ni long term effects.

2.PROPERTY LOSS Katika unywaji nishapoteza simu, wallet yenye kitita + ID, laptop, begi la kusafiria nshasahau kwenye basi ndo ikaisha hivyo

3.MARADHI vidonda vya tumbo kwenda kupima in general nikaambiwa mapafu yamejaa maji, Figo Zina kiwango kikubwa cha Nini sijui 125 nini wanajua madokta nikaambiwa ikizidi Figo zinafeli, na pia nikaambiwa nianze clinic ya ini japo walisema nikiacha pombe ini linatabia ya kujirecover lenyewe kama halijawa chronic,
ila nilivyopona ulcers nikarudi kwenye pombe clinic sikwenda almost 1 year umepita,
ila Sasa hivi ni kinywa siku mbili siku ya tatu lazima niumwe tumbo mpaka natembea nainama, acid reflux na kukosa hamu ya kula mikono inatetemeka kijiko cha supu mpaka kifike mdomoni supu yote imemwagika.

4.HAMU YA NGONO nikinywa kivyovyote vile lazima nitafute kipoozeo na ninaruka naye bila Kinga ujasiri wa pombe huo.

5. AJALI hii haihitaji maelezo, Kuna kukutana na vibaka n.k mambo ni mengi.

Ila kubwa ni AFYA ya MWILI na akili baada ya kujitathimini faida na hasara ninayopata, nimeamua niache kwa hiari sio mpaka kukutana na dokta Tena.

Now napiga mazoezi mlima nakunywa maji bahari mixer Meditation, hata mwenyewe naona akili inaanza kufunguka.
By the way hizi effects hutozipata Leo Wala kesho but at the long run pombe hajawahi kumuacha mtu salama, na kuanza ni rahisi sana ila kuacha kama hujapata janga la kukushtua ubongo factory reset asee ni ngumu sometimes haiwezekani.

Au labda mizimu yetu haipatani na hii makitu, maybe 🤔

~Ndimi mlevi mstaafu.
Nyinyi ndio mlikua mnakaa bar Sana na kunywa Sanaa.

Mimi sio mlevi Mimi nakunywa konyagi ndogo Tena nainunua then nakunywa mdogo mdogo na sinywi Ile kulewa tilalila

Pombe inafanya akili inakua high Sana ki utendaji ukizidisha pombe ndio mwanzo ya kua mvivu mvivu na mtu wa excuse nyingi UGOMVI KUCHELEWA KAZINI, MATUMIZI MABAYA YA MUDA NA PESA, KUPOTEZA VITU OVYO, KUSAHAU SAHAU.

SIKU ZOTEEE NIMESEA POMBE SIO TATIZO TATIZO NI MTU MWENYEWE.
 
Nyinyi ndio mlikua mnakaa bar Sana na kunywa Sanaa.

Mimi sio mlevi Mimi nakunywa konyagi ndogo Tena nainunua then nakunywa mdogo mdogo na sinywi Ile kulewa tilalila

Pombe inafanya akili inakua high Sana ki utendaji ukizidisha pombe ndio mwanzo ya kua mvivu mvivu na mtu wa excuse nyingi UGOMVI KUCHELEWA KAZINI, MATUMIZI MABAYA YA MUDA NA PESA, KUPOTEZA VITU OVYO, KUSAHAU SAHAU.

SIKU ZOTEEE NIMESEA POMBE SIO TATIZO TATIZO NI MTU MWENYEWE.
Sasa ninywe mavitu machungu afu nisipate kujisikia chochote si Bora kuacha tu
Pombe bila vibe ni sawa na kudokoa chakula mwezi wa Ramadan afu usishibe si Bora kufunga tu upate thawabu
 
Nunua mzinga wa balantine ,weka glass moja kunywa halafu skilizia muziki wake
 
Sasa ninywe mavitu machungu afu nisipate kujisikia chochote si Bora kuacha tu
Pombe bila vibe ni sawa na kudokoa chakula mwezi wa Ramadan afu usishibe si Bora kufunga tu update thawabu
Mimi nakunywa kama burudani Tena sipendagi bar na nikiendaga nakaa peke angu no story Sana Sana kuchati JF

HUO NDIO UNYWAJI WANGU NANUNUA DUKANI NAKUNYWA KONYAGI YANGU NDOGO MOJA NIKIWA NIMECHANGANYA NA TONIC WATER SITAKI MAMBO YA WALEVI MIMI

POMBE NI NZURII IKITUMIWA KWA BUSARA NDIO MAANA WANASEMA DRINK RESPONSIBLE
 
Mimi nakunywa kama burudani Tena sipendagi bar na nikiendaga nakaa peke angu no story Sana Sana kuchati JF

HUO NDIO UNYWAJI WANGU NANUNUA DUKANI NAKUNYWA KONYAGI YANGU NDOGO MOJA NIKIWA NIMECHANGANYA NA TONIC WATER SITAKI MAMBO YA WALEVI MIMI

POMBE NI NZURII IKITUMIWA KWA BUSARA NDIO MAANA WANASEMA DRINK RESPONSIBLE
Kiafya ya mwili upo sahihi ila Akili Kuna pattern lazima zibadilike no matter how small the amount taken
 
Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana.

Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye furaha na uhuru mwingi sana rohoni lakini kikubwa wanavyopendwa na kuzungukwa wengi. Kwa sasa nmeshatia nia, no way back. Haiwezekani lazma namimi niwe mmoja wao wakuu.

Nimejiwasilisha hapa mnipe abc za kufata katika safari yangu hii yenye matumaini tele.

Wapinga maendeleo na haters wote muingie humu kwanza 🚮

View attachment 3355810
Ukisikia uanaume ndo huo sasa, yaani ulikuwa unaishi kidemudemu.
Kaweke heshima bar, wale malaya wa bar ni mali ya wanywaji. Utafaidi vingi.
 
Babu kunywa pombe kwenye hoteli za hadhi najua wewe hutoshindwa kufanya hivyo ,ndio maana nimeluka huu ushauri 🤔
Ngoja nianze next time nikipata pension yangu ya Mwezi

Maisha yenyewe ndiyo haya haya 😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom