min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,497
- 168,489
Kabisa babu 🤣🤣🤣 napenda bata sanaNgoja nianze next time nikipata pension yangu ya Mwezi
Maisha yenyewe ndiyo haya haya 😅
Kabisa babu 🤣🤣🤣 napenda bata sanaNgoja nianze next time nikipata pension yangu ya Mwezi
Maisha yenyewe ndiyo haya haya 😅
Wewe bado Kijana, tofauti na Mimi 😜Kabisa babu 🤣🤣🤣 napenda bata sana
Pole babu fanya mazoezi kwa wingi lakiniWewe bado Kijana, tofauti na Mimi 😜
Mimi nikila bata Siku 5 mfululizo lazima kichwa kiniume
Nahisi umri unachangia 🙌
Kigamboni cc. Monetary doctorUnaishi mitaa hii pia?
Weekend huwa panajaa sana hapa, si unajua ukifanya vikao na Wasomi lazima upate yatokanayo 🤗
Nakukaribisha kwa mikono 2 na miguu2,kama walivyo karibishwa g55 Chaubwabwa.Ila cha kujua hiyo kitu sii ya kupania,hiyo tumia kama burudani tu,usitumie kwakuwa unamsongo,usitumie kwakuwa unahasira,usitumie kwakuwa unahisi itakuongezea uwezo wa kufanya jambo fulani kwa ufanisi zaidi,usitumie zaidi ya uwezo wako wa kuhimili kwa kuwa ni yabure au kwa sababu ya kampani.Kama hujatumia kabisa jua utakuwa na uwezo wa kutumia kiasi kidogo kwa kuanzia na tumia aina isiyo na vibe ya juu.Utafanya chagua sahihi na aina ambayo ni rafiki kwako zaidi kadiriya vile inavyozoea.Kila la kheri mwamba.Wahenga tunasema kunywa beer okoa maji.Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana.
Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye furaha na uhuru mwingi sana rohoni lakini kikubwa wanavyopendwa na kuzungukwa wengi. Kwa sasa nmeshatia nia, no way back. Haiwezekani lazma namimi niwe mmoja wao wakuu.
Nimejiwasilisha hapa mnipe abc za kufata katika safari yangu hii yenye matumaini tele.
Wapinga maendeleo na haters wote muingie humu kwanza 🚮
View attachment 3355810
Broh ov mine 👊..... Kigamboni tumejaaKigamboni cc. Monetary doctor
Kumbe mitaa ya Norasco pub hapa Mji mwema lazima unaijua.Kigamboni cc. Monetary doctor
Nitazingatia Mkuu.Pole babu fanya mazoezi kwa wingi lakini
Rtd🤣Nitazingatia Mkuu.
Wacha niwashe Redio Tanzania muda huu nipate ladha ya muziki wa Mwaka 47 tu 🤗
Cc, Monetary doctorKumbe mitaa ya Norasco pub hapa Mji mwema lazima unaijua.
Mitaa hatari sana hiyo Kwa sisi Wazee hasa tukiwa na pension zetu mifukoni 😅
Daah nolasco pa moto aseeh me kelele sipend naona bora kupoa Kijiji pale maweni km unapapata
Kigamboni ni MKOA 🕳️🕳️🕳️Daah nolasco pa moto aseeh me kelele sipend naona bora kupoa Kijiji pale maweni km unapapata
Unaingia na kutoka na pesaKigamboni ni MKOA 🕳️🕳️🕳️
😅😅Rtd🤣
Naaam bruh, nipo hapaMonetary doctor popote ulipo nakuita.