Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

Mh! nyie mnaonzaga kunywa ukubwani huwa mnatusumbua sana!.. pombe inahitaji mtu anaejiheshimu, anaejua kwanini anakunywa na kiasi gani ni tosha yako!.. pombe inataka hii sentence "Mwisho!".
vilevile ujue unakunywa kwasababu zipi kama unahisia sana pombe haikufai!, na chengine ni kujua ni aina gani ya pombe zitakufaa wewe!. mwisho mfukoni uwe safi yani sio unakunywa hela ya kodi ama ya hesabu nyengine!.

pombe ni nzuri ukinywa kwa kiasi chake!. kwakuwa unaanza zingatia hayo mambo kwanza bila kusahau chakula!, pombe bila kula nikujimaliza!. ila mwisho wasiku kama wanavyoshauri madaktari pombe ni hatari so kunywa kwa risky yako mwenyewe baadae usije kulalamikia mtu!..

Baada ya maonyo na tahadhari wacha nikufundishe, kwakuwa unaanza usianze na pombe kali yani konyagi, whiskey n.k anza na wine ama beer, hizi angalau haziendeshi kihivyo vilevile wine inafaa kiafya ikitumika kwa standard!.
Hufaa sana baada yakula ama kabla ukipata glass yako moja ama mbili!, ila wine zipo nyingi so utachagua mwenyewe zipo tamu na zisizotamu.
kuna red, rose na white.. kwa wanaume huwa tunapenda zaidi kunywa red!, ila unaweza kunywa yoyote upendavyo!. pia kuna sparkling wine hizi ni ambazo zina gas ndo hizo mnaita champagne. alcohol percentage za wine mara nyingi huchezea 12 mpaka 20...

Beer pia zipo za aina nyingi vilevile binafsi napenda ambazo ni lager!.
zipo chungu na tamu pia, kuna ciders n.k mara nyingi alcohol percentage huchezea 4 mpaka 5.... sijawahi kuona bia yenye alcohol 10!.

spirits ama liquor..
ndo hizo kali, hizi ndugu zipo nyingi sana na ni rahisi sana mtu kumchukua hizi maana zina alcohol kubwa!, sanasana huanzia 30 mpaka 40+ sijawahi kuona inayofika 50...!
kwenye hizi ndo huwa ni ngumu kumeza japo si zote ila nyingi zipo hivyo na ndio maana wengi huchanganya na kinywaji chengine ambacho ni soft au wengine hunywa cocktails.. kwenye hizi kunahitajika umakini mkubwa..
pia kuna liqueur, hizi ni spirits lakini mara nyingi huwa na flavour na ni tamu, ndo kuna hizi amarula, baileys n.k wengine huziita za akina dada!..😂

Narudia tena pombe bila kula ni uhaini, kunywa kwa hali na ufahamu na zingatia sana unapokunywa uwe kwenye eneo salama!.
 
Kuongea kingereza na kuchekaa
Mimi nikipiga vitu najiona nina akili mingi , mpaka kichwa inataka kupasuka , pia nakua na uwezo wa kufanya maamuzi ya busara kwa haraka na kwa umakini zaidi , marafiki zangu na boss wangu kazini huwa wanapenda nilanduke hata kidogo , pia nakua social na kila mtu na kiwango cha upendo kinakua kikubwa nikiwa mzima naonaga kila mtu ni mjinga tu na pia nakua na puuzia baadhi ya mambo na watu jambo ambalo naonekana kama nina nidharau mno.
 
Mh! nyie mnaonzaga kunywa ukubwani huwa mnatusumbua sana!.. pombe inahitaji mtu anaejiheshimu, anaejua kwanini anakunywa na kiasi gani ni tosha yako!.. pombe inataka hii sentence "Mwisho!".
vilevile ujue unakunywa kwasababu zipi kama unahisia sana pombe haikufai!, na chengine ni kujua ni aina gani ya pombe zitakufaa wewe!. mwisho mfukoni uwe safi yani sio unakunywa hela ya kodi ama ya hesabu nyengine!.

pombe ni nzuri ukinywa kwa kiasi chake!. kwakuwa unaanza zingatia hayo mambo kwanza bila kusahau chakula!, pombe bila kula nikujimaliza!. ila mwisho wasiku kama wanavyoshauri madaktari pombe ni hatari so kunywa kwa risky yako mwenyewe baadae usije kulalamikia mtu!..

Baada ya maonyo na tahadhari wacha nikufundishe, kwakuwa unaanza usianze na pombe kali yani konyagi, whiskey n.k anza na wine ama beer, hizi angalau haziendeshi kihivyo vilevile wine inafaa kiafya ikitumika kwa standard!.
Hufaa sana baada yakula ama kabla ukipata glass yako moja ama mbili!, ila wine zipo nyingi so utachagua mwenyewe zipo tamu na zisizotamu.
kuna red, rose na white.. kwa wanaume huwa tunapenda zaidi kunywa red!, ila unaweza kunywa yoyote upendavyo!. pia kuna sparkling wine hizi ni ambazo zina gas ndo hizo mnaita champagne. alcohol percentage za wine mara nyingi huchezea 12 mpaka 20...

Beer pia zipo za aina nyingi vilevile binafsi napenda ambazo ni lager!.
zipo chungu na tamu pia, kuna ciders n.k mara nyingi alcohol percentage huchezea 4 mpaka 5.... sijawahi kuona bia yenye alcohol 10!.

spirits ama liquor..
ndo hizo kali, hizi ndugu zipo nyingi sana na ni rahisi sana mtu kumchukua hizi maana zina alcohol kubwa!, sanasana huanzia 30 mpaka 40+ sijawahi kuona inayofika 50...!
kwenye hizi ndo huwa ni ngumu kumeza japo si zote ila nyingi zipo hivyo na ndio maana wengi huchanganya na kinywaji chengine ambacho ni soft au wengine hunywa cocktails.. kwenye hizi kunahitajika umakini mkubwa..
pia kuna liqueur, hizi ni spirits lakini mara nyingi huwa na flavour na ni tamu, ndo kuna hizi amarula, baileys n.k wengine huziita za akina dada!..😂

Narudia tena pombe bila kula ni uhaini, kunywa kwa hali na ufahamu na zingatia sana unapokunywa uwe kwenye eneo salama!.
Cha pombe upo?😅😅
 
Hiyo K-Vant mkuu, sio kisungura.
Hii lazima itakuwa na kilevi zaidi ya 40%

Kwa Mzee wa Umri wangu, akiipiga anaweza kushindwa kuuona mlango wa nyumba yake 😜
 
Ningekuwa Kijana kama Dr am 4 real PhD ningesema nitumie Kisungura

Lakini Kwa umri huu nikitupia Kisungura lazima nipotee njia ya kurudi Kwa Bibi yenu 😅
Babu, umenikumbusha kipindi nakaa na babu yangu ,akitupia zake konyagi anarudi nyumbani anaimba njia nzima , ila chakushangaza alikua anaimba wimbo wa kishujaa walio kua wanaimba vitani ,vita ya kagera japo alichanganya na matusi ila hakujali sana🤣🤣🤣
 
Cha pombe upo?😅😅
Sijafikia hiyo hatua yakuitwa hivyo!, mi bado nipo smart sana kwenye kunywa naweza kunywa na mtu asijue na hata siku moja sijawahi hata kulelengeta!.. nakunywa kupata wenge tu baada ya hapo mbio kibao...😂
 
Babu, umenikumbusha kipindi nakaa na babu yangu ,akitupia zake konyagi anarudi nyumbani anaimba nzima nzima , ila chakushangaza alikua anaimba wimbo wa kishujaa walio kua wanaimba vitani ,vita ya kagera japo alichanganya na matusi ila hakujali sana🤣🤣🤣
Hahaha.................inaweza kufanya katikati ya kilevi uangushe kilio

Kumbe umemkumbuka X wako aliyekuacha Mwaka 47

Konyagi ni hatari Kwa stimulus 😅
 
Sijafikia hiyo hatua yakuitwa hivyo!, mi bado nipo smart sana kwenye kunywa naweza kunywa na mtu asijue na hata siku moja sijawahi hata kulelengeta!.. nakunywa kupata wenge tu baada ya hapo mbio kibao...😂
Walevi wetu tupo kama wewe bwashee 🤣🤣 na huwa tunasema hivyo hivyo tu🤣🤣🤣.

Note: hata mimi nipo kama wewe🤣🤣🤣
 
Ukiwa unakunywa hiyo usisahau kusindikiza na nyama choma au uwe umeshakula vizuri kabisa.
Kula nyama choma ama chakula kizito kabla hujanywa ni muhimu sana Kwa afya ya Mnywaji.

Kuna jamaa angu alikuwa tukitoka lazima apige hivyo Visichana(Konyagi kubwa Moja na ndogo peke yake)
 
Walevi wetu tupo kama wewe bwashee 🤣🤣 na huwa tunasema hivyo hivyo tu🤣🤣🤣.

Note: hata mimi nipo kama wewe🤣🤣🤣
Hapana mi najijua kuna watu wamepinda ni hatari anaweza kukesha anakunywa sijui huwa wananyongo gani!.. mi simple sana masaa yangu mawili tosha kabisa na inategemea nakunywa nini kuna vinywaji vyengine hayo masaa mawili ni ushazima....😂😂
 
Hahaha.................inaweza kufanya katikati ya kilevi uangushe kilio

Kumbe umemkumbuka X wako aliyekuacha Mwaka 47

Konyagi ni hatari Kwa stimulus 😅
Babu sijui aliwezaje 🤔 na alikua agusi pombe mpaka apige hesabu ya pesa zake alipe wafanya kazi wake na mtaji wake uwepo na faida anatenga na pombe kila jioni , nashangaa mimi nashindwa , mpaka nawaza au mshua alichapiwa nini😂😂😂😂😂
 
Hahaha now nimeacha kunywa bia za kitanzania babu🤣🤣
Ndiyo kusema umeogopa ufeki wa bidhaa za Pombe uliopo Sokoni?

Nina jamaa angu ana kiwanda cha kuzalisha Gin fulani

Sijui kama Mamlaka Zina udhibiti wa kutosha wa hizi Pombe Kali kwasasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom