GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
1. Lilipo Kanisa Katoliki
2. Uliko Uwanja wa Mazoezi wa Mpira
3. Baa za Vinywaji vya Bei nafuu
4. Vijiwe vikubwa vya Masela / Wahuni
5. Vijiwe vya Tamu za Kibaiolojia
6. Zilipo Ofisi za CCM na Kituo cha Polisi
7. Eneo la Makaburi
Haya wana Mapinga Kiaraka kaeni tayari Kunipokea Ndugu yenu Mgeni Mkazi GENTAMYCINE huko..
Nasikia huko Uwizi / Ujambazi hauko sana kwakuwa 90% ya Wakaazi wa huko ni Wazee wa Kikosi Maalum cha JWTZ (Makomandoo) na bahati nzuri Mmoja wao ni Jirani yangu kabisa hivyo tayari nina uhakika wa usalama wangu 100% na sina haja ya Kufuga Mbwa au Kuweka Mmasai ila nasikia huko tatizo Kubwa ni uwepo wa Vibwengo hasa mida ya kuanzia Saa 1 Usiku hadi Saa 5 za Usiku.
2. Uliko Uwanja wa Mazoezi wa Mpira
3. Baa za Vinywaji vya Bei nafuu
4. Vijiwe vikubwa vya Masela / Wahuni
5. Vijiwe vya Tamu za Kibaiolojia
6. Zilipo Ofisi za CCM na Kituo cha Polisi
7. Eneo la Makaburi
Haya wana Mapinga Kiaraka kaeni tayari Kunipokea Ndugu yenu Mgeni Mkazi GENTAMYCINE huko..
Nasikia huko Uwizi / Ujambazi hauko sana kwakuwa 90% ya Wakaazi wa huko ni Wazee wa Kikosi Maalum cha JWTZ (Makomandoo) na bahati nzuri Mmoja wao ni Jirani yangu kabisa hivyo tayari nina uhakika wa usalama wangu 100% na sina haja ya Kufuga Mbwa au Kuweka Mmasai ila nasikia huko tatizo Kubwa ni uwepo wa Vibwengo hasa mida ya kuanzia Saa 1 Usiku hadi Saa 5 za Usiku.