Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Katiba ya sasa haifai kabisa.Yule Mayor wa Halmashauri ya Manispaa Moshi Juma Raibu Juma aliyefurushwa naye ndani
Katiba ya sasa haifai kabisa.Yule Mayor wa Halmashauri ya Manispaa Moshi Juma Raibu Juma aliyefurushwa naye ndani
Ulimaliza la saba?Utadunguda mwaka huu ..kipindi cha Kayafa mlishangilia sana UNYAMA yalangaga nyanda
Mwache ayaone yale alivyokuwa akiwatendea wenzake alipokuwa akimtumikia mwendazakeJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha...
Machawa wa sabaya mmeanza kupiga miayo, hata akiachiwa huru karma haitomuacha salama, huwezi kuwakata binadamu wenzako maskio, ukawagongea misumari ya ugoko, ukaenda kwa mzee wa watu ambaye ni mstaafu unampora milioni mia moja, ndg Mungu si mwanadamHaya ni matumizi mabaya ya madaraka na hii ni sababu tuna katiba ambayo inawapa wenye madaraka kunyanyasa raia kwa kutumia vibaya madaraka waliyopewa na katiba isiyofaa...
Ni kweli, hizi Id bandia zinaficha mengi, huenda wewe ni Bashiru Ally au Paul Makonda.Hujui historia yangu vyema.
Sabaya kafungwa na ccm wenzakeWatu wengi wafuasi wa Mbowe huwa mmejaza matope vichwani na ndio maana matusi kwenu ndio IQ.
Ndugu voicer, unafikiri vizuri kweli kabla ya kusema/kuandika? You seem to be so desperate kiasi cha akili yako kushindwa kufikiri vyema kabisa..!Na hapo ndio chadema mnapojifelisha mbele ya Jamii.
Kwa mara nyingine huyu jamaa atawapiga chini tena.
Tulieni dawa iwaingie wapuuzi nyie, mlishangilia sana issue ya Mbowe.Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Sabaya ni jambazi, mwivi, mnyang'anyi, miaka 91 jela itapendezaJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa...
Hata Sabaya binafsi leo ameitamkia mahakamani kwamba hana imani na Kweka.Acha kupotosha wasomaji kwa mahaba Niue uliyonayo juu ya sabaya. Kuhusisha makosa yake anayotumiwa kuyatenda na uwepo wa naibu dci na Mbowe ni kuonyesha jinsi Gani ulivyo biased na obsessive na sabaya.
Kama kweli huna maslahi na sabaya ni kwanini uwataje watu wengine Tena wasiohusika na kesi za sabaya?
Acha kumchafua image za watu Kwa mahaba Yako binafsi!
Na hapo ndio chadema mnapojifelisha mbele ya Jamii.
Kwa mara nyingine huyu jamaa atawapiga chini tena.
Hujui historia yangu vyema.
Kesi ya kumbaka Nandy iko jikoniHivi alifanikiwa kumpata Nandi usiku ule na kumla papuchi kwa nguvu ???
Jinai haifiTulishasema tunaachana yaliyopita tunaanza ukurasa mpya kama ilivyofanyika kwa mbowe,Lisu na wengineo sasa kwa upande wa Sabaya mbona mambo ni tofauti kama ilivyokuwa kwa hao wengine ambao hawaishi vihoja kila kukicha.Tusameheane jamani.
Huyo atakuwa mmoja wa mademu zake jambazi sugu Sabaya,naona ametokwa mishipa shingoni kumteteaAcha kupotosha wasomaji kwa mahaba Niue uliyonayo juu ya sabaya. Kuhusisha makosa yake anayotumiwa kuyatenda na uwepo wa naibu dci na Mbowe ni kuonyesha jinsi Gani ulivyo biased na obsessive na sabaya.
Kama kweli huna maslahi na sabaya ni kwanini uwataje watu wengine Tena wasiohusika na kesi za sabaya?
Acha kumchafua image za watu Kwa mahaba Yako binafsi!
Hakuna kitu kama hicho kumkataa mwendesha mashitaka,kama analeta weak case ni mwanya mzuri Kwa upande wa defence kuipangua,na mwisho wa siku hakimu au jaji atatoa hukumu Kwa ushahidi ulioletwa mbele yake. Unaweza kumkataa jaji au hakimu Kwa kutokuwa na Imani naye lakini siyo mwendesha mashitakaHata Sabaya binafsi leo ameitamkia mahakamani kwamba hana imani na Kweka.
Sasa wewe ndie unaendekeza unyumbu bila facts.